Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joel Bendera awapa somo askari vijana

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NYALANDU AWAPA SOMO ASKARI WANYAMAPORI

Waziri wa Maliasili na Utalii, lazaro Nyalandu (kulia), akizungumza na wahitimu wa mafunzo ya wanyamapori katika Chuo cha Wanyamapori Pasiansi jijini Mwanza

 

9 years ago

GPL

NIKKI WA PILI AWAPA SOMO VIJANA

Nyota wa Hip Hop Bongo kutoka Kundi la Weusi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’. NYOTA wa Hip Hop Bongo kutoka Kundi la Weusi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ ameibuka na kuwapa somo vijana kwamba wanatakiwa kutumia changamoto wanazopitia katika maisha na kuwa mafanikio kuliko kukaa na kulaumu. kipiga stori na Risasi Vibes, Nikki wa Pili anayebamba na Ngoma ya Baba Swalehe alisema, vijana wengi wamekuwa na dhana kwamba...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Mtopa wa CCM awapa somo vijana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi Ali Mtopa amewataka vijana wa chama hicho kuwaambia wananchi ukweli kwamba serikali ya chama hicho imeweka mazingira mazuri ya miundombinu ambayo yamewezesha wananchi wa mji wa Lindi kupata huduma za maji na barabara.

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizindua zoezi la unywaji wa maziwa kwenye maadhimisho ya wiki ya 18 ya maziwa ambayo kitaifa ilizinduliwa jana mjini Babati, kwa kuwapa maziwa wanafunzi wa shule ya msingi Babati.Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera akizinduzi wa wiki ya 18 ya maziwa, ambapo kitaifa inafanyika Mjini Babati, kwa kumpa maziwa mkazi wa mji huo Magdalena Joseph ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni ng'ombe wa maziwa ni fursa ya kiuchumi na lishe fuga kisasa.Mkuu wa Mkoa...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA (ICHF ) MKOANI MANYARA

Mh.Mary Nagu –Waziri katika ofisi ya Raisi Mauhusiano na Uratibu na Mbunge wa Hanang akawaelimisha wananchi umuhimu wa kujiunga na CHF ILIYOBORESHWA katika siku ya uzinduzi .Kulia kwake ni Mkurugenzi wa shirika la PharmAccess kutoka Uholanzi Bw.Sicco Van Gelder ambao ndio wafadhili wa mradi huu wakishirikiana na NHIF.Mgeni rasmi wa siku ya uzinduzi wa CHF ILIYOBORESHWA mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Joel Bendera akiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Mbulu Dr.Michael Kadeghe kukabidhi moja ya...

 

9 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yamshikiliwa Askari PC Joel Francis kwa mauaji

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limeamshikilia Askari No. F 4965 PC Joel Francis almaarufu Masai kwa tuhuma za kumpiga na kumsabibishia kifo kijana Donald Magalata ambaye alikuwa akiishi naye kama ndugu.

Tukio hilo lilitokea Januari mosi mwaka huu majira ya saa 7 usiku  katika kambi ya polisi Mabatini jijini Mwanza.

Askari huyo anadaiwa kufanya tukio hilo mara baada  ya kubaini kuwa katika pochi yake iliyokuwa na kadi mbili za benki na kitambulisho cha kazi havipo hali iliyosababisha mzozo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msechu awapa somo Wakinga

WENYEJI wa Makete mkoani Njombe wanaoishi sehemu mbalimbali nchini, wamekumbushwa wajibu waliyonao katika kuiendeleza Wilaya hiyo ili ikue kiuchumi. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kikwete awapa somo Wamarekani


Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka sekta binafsi na wafanyabiashara wa Marekani kujifunza kutoka kwa wenzao wa Bara la Asia, ambao wameongeza uwekezaji barani Afrika.
Amesema hatua hiyo inatokana na kuwa wawekezaji hao wanapata taarifa sahihi na za ukweli kupitia vyombo mbalimbali.
Aidha, Rais Kikwete amesema pingamizi kubwa la kufanya biashara kati ya Marekani na Afrika sio tena Bahari ya Atlantic ama umbali, bali ni maono hasi yanayojengwa na vyombo vya habari vya Marekani kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani