Joel Bendera awapa somo askari vijana
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka askari vijana nchini kutumia muda wao kubuni njia rahisi ya kukuza uchumi kupitia fursa zilizopo katika maeneo yao badala ya kufanya uovu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNYALANDU AWAPA SOMO ASKARI WANYAMAPORI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvOKLm8PuTK1FPh*Q1PO*C1IrIpW9wbWylR3DrBE6UdGC6RB3KERprC5mER1Kcj47G3Aa1O9D1qbyIwMMJRMxFpZ/nikkiwapili.jpg?width=650)
NIKKI WA PILI AWAPA SOMO VIJANA
10 years ago
Habarileo25 Feb
Mwenyekiti Mtopa wa CCM awapa somo vijana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi Ali Mtopa amewataka vijana wa chama hicho kuwaambia wananchi ukweli kwamba serikali ya chama hicho imeweka mazingira mazuri ya miundombinu ambayo yamewezesha wananchi wa mji wa Lindi kupata huduma za maji na barabara.
10 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s72-c/9b.png)
MKUU WA MKOA MH. JOEL BENDERA AZINDUA MFUKO WA AFYA YA JAMII ULIYOBORESHWA (ICHF ) MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PnTrXKgTS4A/VdeHrTlMMLI/AAAAAAABk2o/ThTv-8SGAKI/s640/9b.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZAU3l25KpQ/VdeIlvjU9OI/AAAAAAABk3A/aH0rgEjjqEE/s640/9e.png)
9 years ago
StarTV05 Jan
Polisi Mwanza yamshikiliwa Askari PC Joel Francis kwa mauaji
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limeamshikilia Askari No. F 4965 PC Joel Francis almaarufu Masai kwa tuhuma za kumpiga na kumsabibishia kifo kijana Donald Magalata ambaye alikuwa akiishi naye kama ndugu.
Tukio hilo lilitokea Januari mosi mwaka huu majira ya saa 7 usiku katika kambi ya polisi Mabatini jijini Mwanza.
Askari huyo anadaiwa kufanya tukio hilo mara baada ya kubaini kuwa katika pochi yake iliyokuwa na kadi mbili za benki na kitambulisho cha kazi havipo hali iliyosababisha mzozo...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Msechu awapa somo Wakinga
WENYEJI wa Makete mkoani Njombe wanaoishi sehemu mbalimbali nchini, wamekumbushwa wajibu waliyonao katika kuiendeleza Wilaya hiyo ili ikue kiuchumi. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba...
11 years ago
Uhuru Newspaper06 Aug
Kikwete awapa somo Wamarekani
Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka sekta binafsi na wafanyabiashara wa Marekani kujifunza kutoka kwa wenzao wa Bara la Asia, ambao wameongeza uwekezaji barani Afrika.
Amesema hatua hiyo inatokana na kuwa wawekezaji hao wanapata taarifa sahihi na za ukweli kupitia vyombo mbalimbali.
Aidha, Rais Kikwete amesema pingamizi kubwa la kufanya biashara kati ya Marekani na Afrika sio tena Bahari ya Atlantic ama umbali, bali ni maono hasi yanayojengwa na vyombo vya habari vya Marekani kuhusu...