Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KIJIJI CHA MAGOZA, MKURANGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s72-c/31.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s1600/31.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais Kikwete yupo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za Mwenge leo.watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selenga.
Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Rais Kikwete azindua kijiji cha Mfano cha Vijana Sikonge mkoani Tabora leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tY-wYVSeABI/VDws0ZrQG3I/AAAAAAAGp98/8Lxg-ZiGWT0/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h6sUii02CE4/U-izSn7-UKI/AAAAAAAF-aA/_d61O02bmJY/s72-c/IMG-20140811-WA0008.jpg)
MH. RIDHIWANI AZINDUA MRADI WA MAJI MBALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-h6sUii02CE4/U-izSn7-UKI/AAAAAAAF-aA/_d61O02bmJY/s1600/IMG-20140811-WA0008.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_J2JK67PgdE/U-izV1ozfQI/AAAAAAAF-aQ/WZ6RJbsw5D0/s1600/IMG-20140811-WA0001.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akifungua maji kwenye bomba mara baada ya kuzindua mradi wa maji kwenye kijiji cha Mbala kata ya Vigwaza.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ED29K_9RC40/U-izUfsGbJI/AAAAAAAF-aI/UYMF6riv5sM/s1600/IMG-20140811-WA0006.jpg)