Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais Kikwete yupo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za Mwenge leo.watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selenga.
Rais...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Rais Kikwete azindua kijiji cha Mfano cha Vijana Sikonge mkoani Tabora leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tY-wYVSeABI/VDws0ZrQG3I/AAAAAAAGp98/8Lxg-ZiGWT0/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yoYCHPFFcDI/U-4u0yj8P8I/AAAAAAAF_5s/etkPInrVE2Y/s72-c/unnamed%3A1.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA MSAADA WA BAJAJ KWA KIJIJI CHA VIJANA SIKONGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-yoYCHPFFcDI/U-4u0yj8P8I/AAAAAAAF_5s/etkPInrVE2Y/s1600/unnamed%3A1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nDOfqSvxTfY/U-4u0UB4BtI/AAAAAAAF_50/qvwuKAM2gvY/s1600/unnamed%3A2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_zCHR2RSH64/U-4u1mSGQEI/AAAAAAAF_58/Xdnm1wEYn6Y/s1600/unnamed%3A3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TJpehHR_4x8/U-4u0Ssc0_I/AAAAAAAF_5o/B1RELRnLfHs/s1600/unnamed%3A.jpg)
WAZIRI...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LIMXGsxxJVU/VD0f7r6uF6I/AAAAAAAGqfQ/m4qdWW-5TkI/s72-c/11.jpg)
Rais Kikwete atoa hotuba Kilele cha Mbio za Mwenge Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-LIMXGsxxJVU/VD0f7r6uF6I/AAAAAAAGqfQ/m4qdWW-5TkI/s1600/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CK0GJWZ6Nnk/VD0f9ehnqfI/AAAAAAAGqfY/O7IGJsXvA9c/s1600/22.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-EYA9suYHq7M/VD0-Uh2OZ-I/AAAAAAAGqf0/YyB3vQ_TE5E/s1600/2.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE MKOANI TABORA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s72-c/_MG_4441.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV MAFANIKO NA KUWEKA JIWE LA MSINGI WA NYUMBA ZA MAKAZI NHC MKOANI MTWARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-1XDUUh63qqQ/VcdCT3f2DOI/AAAAAAAC9fo/FBVxLhmydYI/s640/_MG_4441.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i7FgNhzEKLI/VcdCUON5_lI/AAAAAAAC9gI/su5QHLya8fo/s640/_MG_4455.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFHOM6OmXlk/VcdCVQS3PQI/AAAAAAAC9f4/i0uoVlAShlQ/s640/_MG_4504.jpg)
10 years ago
MichuziMwijage azindua mradi wa umeme uliobuniwa na wananchi kijiji cha Lilondo mkoani Ruvuma
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amezindua mradi wa umeme wa kiasi cha kilowati 40 uliobuniwa na wananchi katika kijiji cha Lilondo, wilaya ya Songea Vijijini, mkoani Ruvuma ambapo jumla ya nyumba 100 zimeshafaidika kwa kuunganishwa na huduma ya umeme.
Akiwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, Naibu waziri Mwijage, alitembelea na kukagua mitambo pamoja na...
10 years ago
MichuziHatimaye wakazi wa kijiji cha Amani mkoani Tabora kuanzia usiku wa leo watalala bila kero ya kunguni!