Waziri Nchemba aingilia kati mapigano ya wakulima, wafugaji Mvomero
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba ameiagiza kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Mvomero kuimarisha ulinzi maeneo yote yenye migogoro kufuatia kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MVOMERO AINGILIA KATI MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUHUSIANA NA BONDE LA MGONGOLA
11 years ago
Habarileo23 Dec
Wakulima, wafugaji Mvomero wapatana
SERIKALI ya Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro imefanikiwa kuwapatanisha wakulima na wafugaji wa vijiji vitano vilivyopo kata ya Hembeti vinavyo pakana na Bonde la Mgongola na imewataka wakulima wanaotoka nje ya wilaya hiyo kujisajili katika halmashauri za serikali za vijiji vinavyohusika na bonde hilo.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe
11 years ago
Habarileo22 Oct
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua 3 Kigoma
MAPIGANO yaliyoibuka baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Minyinya, wilayani Kakonko mkoani Kigoma, yamesababisha vifo vya watu watatu na majeruhi kadhaa.
10 years ago
Habarileo01 Oct
Magufuli kuzika mapigano ya wakulima na wafugaji
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameahidi atakapochaguliwa atahakikisha anafunga mapigano kati ya wakulima na wafugaji huku akihadharisha viongozi atakaowateua kuwa lazima wahakikishe hayatokei kwenye maeneo yao.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Akatwa kichwa mapigano ya wakulima, wafugaji
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua watu wawili
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wafugaji, wakulima Kiteto wauana katika mapigano
10 years ago
GPLJIMBO LA MVOMEROTATIZO SUGU NI MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI