Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe
Uhai wa Mtanzania mmoja umepotea katika Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro. Ni kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji. Katika mapigano hayo, watu wengine wanne akiwamo askari, walijeruhiwa huku zaidi ng’ombe 72 wakiuawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Oct
Magufuli kuzika mapigano ya wakulima na wafugaji
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameahidi atakapochaguliwa atahakikisha anafunga mapigano kati ya wakulima na wafugaji huku akihadharisha viongozi atakaowateua kuwa lazima wahakikishe hayatokei kwenye maeneo yao.
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Akatwa kichwa mapigano ya wakulima, wafugaji
10 years ago
Habarileo22 Oct
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua 3 Kigoma
MAPIGANO yaliyoibuka baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Minyinya, wilayani Kakonko mkoani Kigoma, yamesababisha vifo vya watu watatu na majeruhi kadhaa.
10 years ago
GPLJIMBO LA MVOMEROTATIZO SUGU NI MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua watu wawili
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mmoja Moro
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wafugaji, wakulima Kiteto wauana katika mapigano
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s72-c/_MG_1558.jpg)
MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sud2RkOOnvQ/VgwhSXD4JqI/AAAAAAAC_-g/NUR2--FpkDo/s640/_MG_1558.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i-Bki45F4wo/VgwhR0mPkmI/AAAAAAAC_-Y/lLaB-t1-IZU/s640/_MG_1523.jpg)
Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano yake alioufanya katika mji...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Waziri Nchemba aingilia kati mapigano ya wakulima, wafugaji Mvomero