Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO

 Camera ya GLOBU ya jamii ikiwa njiani kutoka Morogoro kuelekea jijini Dar,njia ilikutana ajali hii iliyotokea mapema jana kati ya gari ndogo aina ya NOAH ambayo namba zake za usajili hazikufahamika mara moja kufuatia kuharibika vibaya kutokana na ajali hiyo ya kugongwa kwa nyuma na basi la STAMILI kama lionekanavyo pichani lenye namba za usajili T43CJN lililokuwa likitokea Morogoro kuelekea jijini Arusha,Katika gari ya NOAH hakukuwemo na abiria zaidi ya dereva,ambaye alitoka mzima kama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MKURANGA

Gari aina ya TATA lenye namba za usajili SU 39761likiwa limehalibika vibaya baada ya ajali hiyo kutokea.…

 

10 years ago

GPL

WAWILI WANUSURIKA KUFA KWA AJALI SINZA

Hivi ndivyo ilivyokuwa eneo la tukio. WATU wawili akiwemo dereva wa pikipiki na abiria aliyekuwa amebebwa wamenusurika leo kufa baada ya pikipiki yao kugongwa na basi la UDA maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam. (Habari/Picha: Gabriel…

 

10 years ago

GPL

WANUSURIKA KUFA KWA AJALI UHASIBU TEMEKE

Gari aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T399 BKU likiwa uvunguni mwa roli.…

 

10 years ago

GPL

WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MWANZA

Mwonekano wa gari hilo baada ya kupata ajali.…

 

10 years ago

GPL

WATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI DAR

Mchina aliyekuwamo kwenye gari akizungumza kwa simu, pembeni yake ni askari wa usalama barabarani. Dereva wa Opa ambaye hakufahamika jina lake mara moja.…

 

10 years ago

GPL

WATANO WANUSURIKA KUFA KWA AJALI KIMARA, DAR

Gari aina ya Mitsubishi Canter likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo. Muonekana wa gari hilo baada ya ajali.…

 

9 years ago

Michuzi

MGOGORO WA WAKULIMA NA WAFUGAJI WALETA MAAFA KATIKA KIJIJI CHA DIHINDA MVOMERO MKOANI MOROGORO


Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiangalia Ng'ombe walio uwawa katika Mgogoro wa wakulima na Wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero, katika tukio lililotokea Desemba 12 mwaka huu.Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiwa na Mkuu wa wilaya ya Mvomero, Betty Mkwasa wakiwajulia hali watu waliojeruhiwa katika mgogoro wa wakulima na wafugaji uliotokea katika kijiji cha Dihinda kata ya Kanga wilayani Mvomero Desemba 12...

 

9 years ago

Bongo5

P-Square wanusurika na ajali ya gari (Picha)

Mapacha wa kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye jana walinusurika na ajali ya gari baada ya kugongwa na lori. Wawili hao walikuwa kwenye gari aina ya Range Rover. Kupitia Instagram, Peter alipost picha ya gari ya iliyoyobondeka na kuandika: Fans pls help us thank God. Myself @rudeboypsquare @papiijameh and our assistant manager @wandoskie had […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar

DSC05130

Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo

Na Mwandishi Wetu.

[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa  Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana  wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji  cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.

Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani