P-Square wanusurika na ajali ya gari (Picha)
Mapacha wa kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye jana walinusurika na ajali ya gari baada ya kugongwa na lori. Wawili hao walikuwa kwenye gari aina ya Range Rover. Kupitia Instagram, Peter alipost picha ya gari ya iliyoyobondeka na kuandika: Fans pls help us thank God. Myself @rudeboypsquare @papiijameh and our assistant manager @wandoskie had […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s72-c/IMG_2739.jpg)
WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s1600/IMG_2739.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!
Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..
9 years ago
Mtanzania04 Sep
P Square wanusurika kifo Nigeria
LAGOS, Nigeria
NYOTA wa muziki nchini Nigeria, mapacha wanaounda kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. wamenusurika kifo jana baada ya gari lao kugongana na lori la mizigo.
Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Lagos, ambapo wasanii hao walikuwa katika gari aina ya Range Rover Sport SUV, lakini hata hivyo hali za wasanii hao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu.
“Tunaamini Mungu yupo nasi kila wakati, ilikuwa ni ajali mbaya, ingeweza kutuondolea maisha yetu, lakini tunamshukuru Mungu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s72-c/unnamed.jpg)
ANGALIA PICHA AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s640/unnamed.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10682626_501968869906388_476778403_o.jpg?oh=4a471090d5fb90dc13746e89374b209c&oe=543C704F&__gda__=1413328464_e25738227d30076255ef91c0a91ae946)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ivqc90arWEg/VDqgPzhXpyI/AAAAAAAGplU/Ox7GMVj8muI/s640/unnamed.jpgq.jpg)
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U-dC84pqRic/Vh0BsnAzPJI/AAAAAAABXPU/3J-yk9xIeBU/s640/2.jpg)
CHANZO: LUKAZA BLOG
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qswicb7Cz1c*m*NajBy1hCrIgOSrIrGPo6Yf3xpUH4he8EN*1lzmRgxJzNXemLPrTzDqspYAehOAzmKKBnV*2jT/IMG20150221WA0011.jpg)
WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MKURANGA
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Watu 56 wanusurika ajali ya ndege Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0YNlownVfzPeHDaJcFSf37FxOancqEvzO8RJH6RdBdWz6bBzAZ9yNQ5cSCT42-sB08GMku259ZQ8eiRkYhIYPx/DSC012371.jpg)