Uhuru Marathon 2014 kuzinduliwa kijini Butiama
![](http://4.bp.blogspot.com/-l9CVxhhzGKk/UwojojoaMlI/AAAAAAAFPHY/N-vlYG_YIyo/s72-c/IMG_3520.jpg)
Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo.
MBIO za Uhuru (Uhuru Marathon) zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi katika kijiji cha Butiama mkoani Mara, Agosti mwaka huu, huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s72-c/unnamed.jpg)
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s1600/unnamed.jpg)
kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya
New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace
Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya
riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa
mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa kuhudhuria uzinduzi huo.
Bi....
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa kesho kutwa
Na Mwandishi Wetu
UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa...
10 years ago
TheCitizen07 Dec
All set for 2014 Uhuru Marathon
10 years ago
Michuzi26 Nov
10 years ago
MichuziChibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh. milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6uCJNOvsO5A/VH2fvtiJhdI/AAAAAAAG0v4/7kQGqPI1QU8/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
UHURU MARATHON 2014 YADHAMINIWA NA STAR TIMES
![](http://4.bp.blogspot.com/-6uCJNOvsO5A/VH2fvtiJhdI/AAAAAAAG0v4/7kQGqPI1QU8/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Ushirikina Uhuru Marathon
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina. Tukio...
10 years ago
Daily News08 Oct
Uhuru Marathon set for Dec 7
Daily News
THE second edition of Uhuru Marathon is set for December 7, this year, in Dar es Salaam. Speaking at the launch of the marathon in the city on Tuesday, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth, Culture and Sports, Prof. Elisante Ole ...