Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon,Innocent Melleck (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika dhifa ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni sita kwaajili ya udhamini wa mbio hizo,ambapo wamedhamini mbio za km 5. kushoto ni meneja usambazaji na mauzo wa Darbrew,Fred Kazindogo.
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh.  milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

TheCitizen

All set for 2014 Uhuru Marathon

A host of athletes, including elite runners from various countries across the world, are expected to compete in the fourth edition of Uhuru Marathon set for today in Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

Dar Brew yazingua kinywaji kipya cha asili kinachofahamika kama chibuku super

Mkurugenzi mkuu wa KAMPUNI ya Dar Brew,Bw. Kiroi Suma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa bia mpya ya asili ya chibuku super jijini Dar Es Salaam hivi karibuni.Kulia ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kiwanda hicho,Said Mremi. Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kiwanda hicho,Said Mremi akionyesha moja ya chupa ya Chibuku mbele ya waandhishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bia hiyo mpya ya asili ya chibuku super jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Michuzi

Uhuru Marathon 2014 kuzinduliwa kijini Butiama

Mratibu wa Mbio za Uhuru Marathon, Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia maandalizi ya uzinduzi wa Mbio hizo kwa Mwaka 2014,ambapo mwaka huu Mbio hizo zitazinduliwa kwenye Kijiji cha Butiama,Mkoani Mara. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Selemani Nyambui akinzungumza kwenye Mkutano huo.
MBIO za Uhuru (Uhuru Marathon) zinatarajiwa kuzinduliwa rasmi katika kijiji cha Butiama mkoani Mara, Agosti mwaka huu, huku...

 

10 years ago

Michuzi

UHURU MARATHON 2014 YADHAMINIWA NA STAR TIMES

Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam wakati akielezea juu ya udhamini wa kampuni ya startimes kudhamini kwa kutoa matangazo na vifaa vyenye Zaidi ya shilingi milioni nne na laki tano.Kushoto kwake ni meneja huduma kwa wateja wa startimes Jackson Ngowi

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Absa Tanzania yadhamini Kili Marathon 2020 kwa mafanikio

 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (katikati), pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakishiriki mbio za Kilomita 21 za Kilimanjaro marathon pamoja na wakimbiaji wengine. Absa ilikuwa mmoja wa wadhamini ikigharamia  kituo cha kutoa maji ya kunywa na viburudisho kwa wakimbiaji. Mashindano hayo yalifanyika mjini Moshi, Kilimanjaro leo.   Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (kushoto),  akimpongeza mmoja wa wakimbiaji wao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ushirikina Uhuru Marathon

MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina. Tukio...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI LEO UHURU MARATHON

Bendi ya jeshi la polisi ikitumbuiza. Wageni rasmi (kutoka kushoto) Mwenyekiti mstaafu wa BMT, Kanali Idd Kipingu, Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Habari na Michezo, Juliana yasoda, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangala,  Mratibu wa Uhuru Marathon, Innocent Meleck. Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha,…

 

10 years ago

Daily News

Uhuru Marathon set for Dec 7


Uhuru Marathon set for Dec 7
Daily News
THE second edition of Uhuru Marathon is set for December 7, this year, in Dar es Salaam. Speaking at the launch of the marathon in the city on Tuesday, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth, Culture and Sports, Prof. Elisante Ole ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani