Dar Brew yazingua kinywaji kipya cha asili kinachofahamika kama chibuku super
![](http://3.bp.blogspot.com/-u_xZezvW5_0/U3m0een16KI/AAAAAAAFjng/vFH-ObKvLLE/s72-c/unnamedW.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa KAMPUNI ya Dar Brew,Bw. Kiroi Suma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa bia mpya ya asili ya chibuku super jijini Dar Es Salaam hivi karibuni.Kulia ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kiwanda hicho,Said Mremi.
Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kiwanda hicho,Said Mremi akionyesha moja ya chupa ya Chibuku mbele ya waandhishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa bia hiyo mpya ya asili ya chibuku super jijini Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Chibuku wazindua kinywaji kipya
KAMPUNI ya Dar Brew, maarufu zaidi kama Chibuku, imezindua bia mpya ya asili ijulikanayo kama Chibuku Super, iliyowekwa katika chupa maalumu ambayo mteja anaweza kuondoka nayo. Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
MichuziTDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...
10 years ago
MichuziChibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh. milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tuNAh5Y62zU/VXmypSSfDyI/AAAAAAAHexY/XrA5rkPriuw/s72-c/DSCF7241.jpg)
TBL YADINDUA KINYWAJI KIPYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-tuNAh5Y62zU/VXmypSSfDyI/AAAAAAAHexY/XrA5rkPriuw/s640/DSCF7241.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-byUR7k_QrpE/VXmyp3PADuI/AAAAAAAHexc/I3Xe4OBmNik/s640/DSCF7259.jpg)
10 years ago
MichuziKINYWAJI CHA SHUDA COCKTAILS CHAZINDULIWA JIJINI DAR
Meneja Masoko ya Kinywaji cha Shuda Cocktails, Bernadetha Daudi akiongea...
10 years ago
GPLKINYWAJI CHA SHUDA COCKTAILS CHAZINDULIWA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi25 Jan
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s72-c/Dance.jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s640/Dance.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-29LSQmTCdDI/VbJp8Ex5wfI/AAAAAAAAfg8/IlmJES_BX0A/s640/Shampaign.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TtTtS5aum5M/VbJp_B5hi7I/AAAAAAAAfhU/YcJyRMVgnh4/s640/Mmiliki%2Bna%2BMeneja%2Bwake.jpg)