TBL YADINDUA KINYWAJI KIPYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-tuNAh5Y62zU/VXmypSSfDyI/AAAAAAAHexY/XrA5rkPriuw/s72-c/DSCF7241.jpg)
Meneja wa kinywaji kipya cha Kill Twist, Edith Bebwa akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kinywaji hicho cha kill Twist kinachozalishwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).Uzinduzi huo ulifanyika katika ufukwe wa Azura jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa kinywaji cha Kill Twist uliofanyika katika ufukwe wa Azura jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Chibuku wazindua kinywaji kipya
KAMPUNI ya Dar Brew, maarufu zaidi kama Chibuku, imezindua bia mpya ya asili ijulikanayo kama Chibuku Super, iliyowekwa katika chupa maalumu ambayo mteja anaweza kuondoka nayo. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u_xZezvW5_0/U3m0een16KI/AAAAAAAFjng/vFH-ObKvLLE/s72-c/unnamedW.jpg)
Dar Brew yazingua kinywaji kipya cha asili kinachofahamika kama chibuku super
![](http://3.bp.blogspot.com/-u_xZezvW5_0/U3m0een16KI/AAAAAAAFjng/vFH-ObKvLLE/s1600/unnamedW.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRjXhiYtciY/U3m0tJrorrI/AAAAAAAFjnw/C-rxEn8wHyQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziTDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s72-c/MEZ-B2.jpg)
JUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s1600/MEZ-B2.jpg)
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND KUWASHA MOTO LEO KIWANJA KIPYA CHA LUKAS PUB
10 years ago
MichuziCHAMA KIPYA CHA SIASA CKUT CHAPATA USAJILI JIJINI DAR LEO.
11 years ago
MichuziWaziri wa Mazingira atembelea kiwanda cha TBL na Coca Cola jijini Mwanza leo