Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...
10 years ago
TheCitizen22 Aug
Tanzania Distilleries introduces Scotch whisky
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s72-c/IMG_6742.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s1600/IMG_6742.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vriPLAp2mZA/U3VNeKtMjrI/AAAAAAAA6PA/vmrPQA2LlIU/s1600/IMG_6754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHtbrqyQcd0/U3VNiINMlkI/AAAAAAAA6PI/2qBtlGChdgo/s1600/IMG_6758.jpg)
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
Obedi Laiser wa kampuni ya Tigo Tanzania ashinda tuzo ya kimataifa katika sherehe ya wafanyakazi Mjini Miami
Meneja wa Fedha na Usalama wa Tigo Pesa Bw. Obedi Laiser na viongozi wa Millicom nchini Marekani.
Tigo leo yamkaribisha nyumbani Tanzania, Bwana Obedi Laiser, baada ya kushinda tuzo ya mfanyakazi wa kimataifa katika tukio la kifahari wiki iliyopita mjini Miami,USA iliyoandialiwa na Milicom,Kampuni ya mawasiliano na vyombo vya Habari kutiko Uswizi ,inayo imiliki Tigo/Kampuni ambayo inamiliki Tigo.
Bwana Laiser aliteuliwa na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Bwana Diego Gutierrez kwa kazi yake...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
DSTV Tanzania yazindua kifurushi kipya
Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi, na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu.
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imewataka wasanii kupeleka kazi zao ili waweze kutambulika nje na ndani ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa Dar es Salaam leo na Meneja Masoko...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u_xZezvW5_0/U3m0een16KI/AAAAAAAFjng/vFH-ObKvLLE/s72-c/unnamedW.jpg)
Dar Brew yazingua kinywaji kipya cha asili kinachofahamika kama chibuku super
![](http://3.bp.blogspot.com/-u_xZezvW5_0/U3m0een16KI/AAAAAAAFjng/vFH-ObKvLLE/s1600/unnamedW.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRjXhiYtciY/U3m0tJrorrI/AAAAAAAFjnw/C-rxEn8wHyQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL