Tanzania Distilleries introduces Scotch whisky
>Tanzania Distilleries Ltd (TDL) has added one more product to the range of spirits and wines it distributes in the country.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
10 years ago
MichuziTDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Tanzania Distilleries Wachangia Mil 10 Imetosha Foundation
![Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa (wa pili kushoto)akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0194.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited ‘Konyagi’, David Mgwassa (wa pili kushoto) akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0171.jpg)
Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.
![Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0198.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w0xmTALAmnk/VQwTu48TNoI/AAAAAAAHLoU/XaNwQPlC4E0/s72-c/DSCF6241.jpg)
TANZANIA DISTILLERIES LTD WACHANGIA MILIONI 10 MFUKO WA IMETOSHA FOUNDATION
Akizunguma na waandishi wa habari wakati kutangaza kutoa mchango huo,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo,David Mgwassa amesema kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu ni...
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Hellofood Tanzania introduces a new Country Manager
hellofood the leading online food delivery company in Africa is pleased to announce the appointment of Ms. Nina Holmes as its new Country Manager for Tanzania. Ms. Holmes comes in to take over from Ms. Sherrian Abdul.
Ms Holmes is no stranger to hellofood, having worked previously as Head of Operations for hellofood Kenya. She comes in with a wealthy of knowledge, firm grounding and international experience in operations and customer service. These qualities will set Ms.Holmes in good stead...
10 years ago
TheCitizen13 Mar
StanChart Tanzania introduces direct bulk mobile payment service for corporate clients
5 years ago
Goal.Com29 Feb
Bayern’s win at Chelsea fuelled by whisky and beer, claims Bon Jovi
10 years ago
Daily News27 Mar
College introduces course for business teachers
Daily News
THE College of Business Education (CBE) will introduce Bachelor Degree in Business Studies with Education (BBE) in 2015/16 academic year to address a shortage of business subjects' teachers in secondary schools. CBE Director of Undergraduate ...