Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania Distilleries introduces Scotch whisky

>Tanzania Distilleries Ltd (TDL) has added one more product to the range of spirits and wines it distributes in the country.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania

Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya  Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

TDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA

KAMPUNI ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) imeendelea kujitanua katika soko nchini baada ya kuzindua kinywaji kipya cha kimataifa kiitwacho Fyfe's Scotch Whisky.
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania Distilleries Wachangia Mil 10 Imetosha Foundation

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa (wa pili kushoto)akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited ‘Konyagi’, David Mgwassa (wa pili kushoto) akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.

Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.

Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.

Mkurugenzi Mtendaji...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA DISTILLERIES LTD WACHANGIA MILIONI 10 MFUKO WA IMETOSHA FOUNDATION

Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD (TDL),imechangia kiasi cha sh.milioni 10 kwa harakati ya Imetosha inayopiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino,ambayo itafanya matembezi ya hisani machi 29 mwaka huu yatakayofanyika kuanzia katika viwanja vya Biafra na kuishia katika Viwanja vya Leaders Klabu,Kinondoni jijjni Dar es Salaam.
Akizunguma na waandishi wa habari wakati kutangaza kutoa mchango huo,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo,David Mgwassa amesema kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hellofood Tanzania introduces a new Country Manager

Hellofood-Tanzania-11

hellofood the leading online food delivery company in Africa is pleased to announce the appointment of Ms. Nina Holmes as its new Country Manager for Tanzania. Ms. Holmes comes in to take over from Ms. Sherrian Abdul.

Ms Holmes is no stranger to hellofood, having worked previously as Head of Operations for hellofood Kenya. She comes in with a wealthy of knowledge, firm grounding and international experience in operations and customer service. These qualities will set Ms.Holmes in good stead...

 

10 years ago

TheCitizen

StanChart Tanzania introduces direct bulk mobile payment service for corporate clients

>Corporate bodies that bank with Standard Chartered Bank can now find it increasingly easy to pay various people instantly, thanks to the bank’s new service.

 

5 years ago

Goal.Com

Bayern’s win at Chelsea fuelled by whisky and beer, claims Bon Jovi

Bayern’s win at Chelsea fuelled by whisky and beer, claims Bon Jovi  Goal.comWatch Prince Harry and Jon Bon Jovi Walk Famous Abbey Road in London!  Entertainment TonightPrince Harry meets Jon Bon Jovi at Abbey Road Studios  BBC NewsPrince Harry's engagement with Jon Bon Jovi missing from the Court Circular  Royal CentralAP Top Stories Feb. 28 P  Associated PressView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Daily News

College introduces course for business teachers


College introduces course for business teachers
Daily News
THE College of Business Education (CBE) will introduce Bachelor Degree in Business Studies with Education (BBE) in 2015/16 academic year to address a shortage of business subjects' teachers in secondary schools. CBE Director of Undergraduate ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani