KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s72-c/Dance.jpg)
Kiota Kipya Cha Maraha kimezinduliwa Kimezinduliwa Jijini Dar es Salaam jana Jiioni. Kiota hicho Jozi Lounge, inapatikana Pande za Msasani Village, jirani kabisa na Shule ya Msingi Msasani.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto) akifungua Champaign wakati wa uzinduzi wa kiota hicho. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali ambao walikunywa na kucheza mpaka majogoo.Hiyo ndiyo habari ya Mujini.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto)huku meneja wake ni Nick...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Dec
KIOTA CHA MARAHA CHA CITY SPORTS LOUNGE CHAZINDULIWA UPYA JIJINI DAR ES SALAAM
![jo1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/jo1.jpg)
10 years ago
Michuziintroducing kiota kipya cha maraha na kilaji cha "Break Point Carnivore" Kinondoni, jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jWPVQw2fqZw/VUhxZiCHjII/AAAAAAAHVbE/HYIBgjS3J2c/s72-c/unnamed1.jpg)
Kiota Kipya cha maraha ndani ya Bunju, jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-jWPVQw2fqZw/VUhxZiCHjII/AAAAAAAHVbE/HYIBgjS3J2c/s640/unnamed1.jpg)
Chimbo jipya kwa jina La Posto Bella Resort limefunguliwa nje kidogo ya mji wa Dar. Kwa wale wanaopenda maeneo private, utulivu na salama, hakuna haja ya kuumiza kichwa.
Kama inavyoonekana kwenye picha, pana garden nzuri iliyotengenezwa kwenye miinuko ya Bunju A, 1.2km toka Bagamoyo road, njia ya kuingia DogoDogo Centre, ikipata upepo baridiii unaotokea bahari ya Hindi.
Ni mazingira ya kiutu-uzima na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FZxXckcwoMY/VDvIKkZSoYI/AAAAAAADFbg/kgqOsIDvjnE/s72-c/IMG-20141013-WA001.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Tujumuike Pamoja leo kucheza wimbo mpya wa Skylight Band “Pasua Twende” kiota cha maraha Thai Village jijini Dar
Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya “PASUA TWENDE”
Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Vijana wa Skylight Band wakijimwaga na sebene, kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi.
Sio kwamba wanaanguka la hasha ni mbewembwe za Majembe ya Skylight Band katika kutoa burudani kwa mashabiki wao.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s72-c/unnamed+(56).jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHAIBUKA KATIKATI YA JIJI LA DAR, UFUNGUZI RASMI JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C22b0WyJGls/VWvwDXblW0I/AAAAAAAC5UA/rqxM68AOuFg/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-C22b0WyJGls/VWvwDXblW0I/AAAAAAAC5UA/rqxM68AOuFg/s640/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00782.jpg?width=650)
TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10