Benki ya Absa Tanzania yadhamini Kili Marathon 2020 kwa mafanikio
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (katikati), pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakishiriki mbio za Kilomita 21 za Kilimanjaro marathon pamoja na wakimbiaji wengine. Absa ilikuwa mmoja wa wadhamini ikigharamia kituo cha kutoa maji ya kunywa na viburudisho kwa wakimbiaji. Mashindano hayo yalifanyika mjini Moshi, Kilimanjaro leo.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (kushoto), akimpongeza mmoja wa wakimbiaji wao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YL8W7NEvB_A/XlzwTNSjmEI/AAAAAAALgXs/ZvIVRM_Dx-cwnoBy_RySOZnj1sKmY5urACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-02%2Bat%2B10.49.02%25281%2529.jpeg)
ECOBANK YASHIRIKI KILI MARATHON 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-YL8W7NEvB_A/XlzwTNSjmEI/AAAAAAALgXs/ZvIVRM_Dx-cwnoBy_RySOZnj1sKmY5urACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-02%2Bat%2B10.49.02%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-g_IZDuztsNQ/XlzwUS8auuI/AAAAAAALgX0/k71QTK6HSXASJQKFYuZZr3S93xokPhaswCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-02%2Bat%2B10.49.14.jpeg)
Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na Waziri mwenye dhamana ya utalii Dkt. Hamis Kigwangala amewapongeza washiriki na kuwashukuru waandaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s72-c/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi
![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s640/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/781e28e9-dfd5-4861-9b40-14bb611c02f6.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.
5 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAJITOSA KWENYE UDHAMINI WA BIMA MARATHON 2020
10 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHIRIKI MAONYESHO YA 18 YA WIKI YA MAZIWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI KWA MILIONI 75
Mkutano huo ambao unajumuisha makamishna, makamanda wa mikoa ya Tanzania bara na Visiwani pamoja na maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi hilo kutoka Makao makuu, umezinduliwa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Mathias Chikawe.
Akizungumza katika uzinduzi huo , Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, alisema...
10 years ago
MichuziChibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh. milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Benki ya Exim yadhamini michuano ya Gofu kwa maafisa watendaji wakuu kutoka makampuni mbalimbali viwanja vya Lugalo
Meneja Msaidizi wa Uwekezaji na Biashara Kubwa wa Benki ya Exim, Thobius Samwel (wa kwanza kushoto) akitoa maelezo juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki yake kwa washiriki wa shindano la Gofu liloandaliwa kwa watendaji wakuu wa makampuni mbali mbali jijini Dar es Salaam lililofanyika katika viwanja vya Gofu vya Lugalo, mwishoni mwa wiki jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni Afisa Mauzo, wa benki hiyo Bw. Ishaq Samailla. Benki ya Exim ilikuwa miongoni mwa wadhamini.
Meneja Msaidizi wa...
5 years ago
LetsRun.Com21 Feb
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon
9 years ago
TheCitizen19 Nov
Kili Marathon 2016 launched