BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI KWA MILIONI 75
Benki ya NMB leo imekabidhi hundi ya shilingi Milioni 75 kama udhamini wa mkutano wa mwaka wa maafisa wa Polisi nchini unaendelea mjini Dodoma katika ukumbi wa Kimataifa wa St Gasper.
Mkutano huo ambao unajumuisha makamishna, makamanda wa mikoa ya Tanzania bara na Visiwani pamoja na maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi hilo kutoka Makao makuu, umezinduliwa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Mathias Chikawe.
Akizungumza katika uzinduzi huo , Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I2JiIfGhY7o/UwRo97OKYtI/AAAAAAAFN44/sFicVAdwTjM/s72-c/nmb.jpg)
BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI MOSHI
10 years ago
MichuziNMB yadhamini Mkutano wa PSPF kwa Milioni 10
10 years ago
MichuziNMB yadhamini Mkutano wa Serikali za Mitaa kwa Shilingi Milioni 200
NMB imetoa shilingi milioni 150 kwaajili ya kufanikisha mkutano huo na shilingi milioni 50 kwaajili ya ununuzi wa trekta litakalotolewa kama zawadi kwa meya (Mayors Award) na halmashauri iliyofanya vizuri katika Nyanja mbalimbali kama utawala bora na utengenezaji wa miradi ya kiuchumi.
Udhamini huo unaifanya NMB...
10 years ago
MichuziNMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Katika mkutano huo, NMB imeweka mabanda ya maonyesho yanayotoa elimu juu ya huduma mbalimbali zinazopatikana ndani ya benki ya NMB pamoja na kutoa huduma za papo kwa papo ambapo wajumbe wa mkutano huo walipata wasaa wa kufungua akaunti za chap chap pamoja na kupata huduma za NMB Wakala.
Kwa huduma za NMB Wakala, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI SHILINGI MILIONI 100 KWA WAZIRI MKUU KUPAMBANA NA CORONA
Waziri mkuu amekabidhiwa fedha hizo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu, Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh. Milioni 100 kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Kaimu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s72-c/nmb+2.jpg)
BENKI YA NMB YAFANYA MKUTANO ELEKEZI KWA WADAU WAKE JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s1600/nmb+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xt32SZvy-0/Uxce0tyUEmI/AAAAAAAFRNY/ZtygEb0c7bY/s1600/nmb+7.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...