BENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Benki ya NMB jana ilikabidhi pikipiki 5 aina ya Honda kwa jeshi la polisi kwaajili ya kusaidia kazi za kila siku za jeshi hilo katika hafla iliyofanyika nje ya ukumbi wa St. Gasper katika mkutano wa maafisa wa polisi unaoendelea mjini hapa.
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNGO's YA APEC KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DODOMA YAFUNGA MAFUZO KWA WAENDESHA PIKIPIKI (BODABODA) MKOANI HUMO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6xDl1BGNKI/VM91gL5AM1I/AAAAAAAHBAc/w0bWkqTCCEQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
NMB Yalishukuru Jeshi la Polisi kwa kuifanya benki hiyo kuwa chaguo lao la kwanza
11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HdnHP8lcGkc/VbEkd0-a6KI/AAAAAAAHrUI/TTzkE9s252Y/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI MWANZA NA MUSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HdnHP8lcGkc/VbEkd0-a6KI/AAAAAAAHrUI/TTzkE9s252Y/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3wR_W3yjhU/VbEkd_KGpUI/AAAAAAAHrUM/aYcW87wYP2w/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s72-c/02.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI SHILINGI MILIONI 100 KWA WAZIRI MKUU KUPAMBANA NA CORONA
Waziri mkuu amekabidhiwa fedha hizo na Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu, Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdrE7uIccwg/XoHu2i5XtHI/AAAAAAALljw/6SVlKdgKDC4yhveUFLWB9zHQkDJunT3xQCLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh. Milioni 100 kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Kaimu...
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s72-c/N1.jpg)
NMB YAKABIDHI VIFAA NA VITENDEA KAZI KWA OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s640/N1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)