NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Benki ya NMB imedhamini mkutano mkuu wa Mwaka wa Makanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania bara ulioanza leo mkoani Mororogoro.
Katika mkutano huo, NMB imeweka mabanda ya maonyesho yanayotoa elimu juu ya huduma mbalimbali zinazopatikana ndani ya benki ya NMB pamoja na kutoa huduma za papo kwa papo ambapo wajumbe wa mkutano huo walipata wasaa wa kufungua akaunti za chap chap pamoja na kupata huduma za NMB Wakala.
Kwa huduma za NMB Wakala, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KtzjfF50490/XoXlbvxb8cI/AAAAAAALl2M/DEqgqXljR2AOlGrl9ylkx0Xsq3xpV63CACLcBGAsYHQ/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2B%2BMAKAMANDA%2B2020-1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma, kabla ya nafasi hiialikuwa Makao Makuu Dodoma.
Aliyekuwa Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) SALUM M. OMARI, anayekwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s72-c/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
KATIBU MKUU KADIO AKAGUA KIWANJA CHA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI DODOMA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MAKAZI YA MAOFISA NA ASKARI WA JESHI HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s640/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UZHouJ7gJ2U/VC1VhX8YhRI/AAAAAAAGnUg/lVj0-b_c_Uc/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AZINDUA BARAZA DOGO LA WAFANYAKAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MJINI BAGAMOYO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UZHouJ7gJ2U/VC1VhX8YhRI/AAAAAAAGnUg/lVj0-b_c_Uc/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I2JiIfGhY7o/UwRo97OKYtI/AAAAAAAFN44/sFicVAdwTjM/s72-c/nmb.jpg)
BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI MOSHI
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA MAKAMANDA WA POLISI KWA MILIONI 75
Mkutano huo ambao unajumuisha makamishna, makamanda wa mikoa ya Tanzania bara na Visiwani pamoja na maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi hilo kutoka Makao makuu, umezinduliwa leo na Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Mathias Chikawe.
Akizungumza katika uzinduzi huo , Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, alisema...
10 years ago
Michuzi30 Jun
10 years ago
Michuzi01 Jul