KATIBU MKUU KADIO AKAGUA KIWANJA CHA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI DODOMA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MAKAZI YA MAOFISA NA ASKARI WA JESHI HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s72-c/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio, wa kwanza kulia, akitoa maelekezo kwa Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mbaraka Semwanza, pamoja na Maofisa Waandamizi wa Jeshi hilo, baada ya kumaliza kutembelea Kiwanja KK Plot 125 Mtumba Three, cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Dodoma, kinachotarajiwa kujengwa Makazi ya Maofisa na Askari wa Jeshi hilo, baada ya kupewa shilingi bilioni tano na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UZHouJ7gJ2U/VC1VhX8YhRI/AAAAAAAGnUg/lVj0-b_c_Uc/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AZINDUA BARAZA DOGO LA WAFANYAKAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MJINI BAGAMOYO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UZHouJ7gJ2U/VC1VhX8YhRI/AAAAAAAGnUg/lVj0-b_c_Uc/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mU5DYSmv36M/XmN6bg5FzYI/AAAAAAALhso/-iLM67n3YIQx5H6Kz0PMHwIBIH968W9iwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-3-3-768x510.jpg)
Kailima Afungua Kikao Cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma
![](https://1.bp.blogspot.com/-mU5DYSmv36M/XmN6bg5FzYI/AAAAAAALhso/-iLM67n3YIQx5H6Kz0PMHwIBIH968W9iwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-3-3-768x510.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-4-3-1024x680.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Silima awataka Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini kuwa waadilifu
Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini wametakiwa kuwa waadilifu, waaminifu, watii na watekelezaji wa sheria zote za nchi kwa kuwa hizo ni miongoni mwa sifa za askari bora.
Akifunga rasmi mafunzo ya awali ya uzimaji wa moto katika viwanja vya ndege kwa askari 100 wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Airwing, Ukonga jijini Dar es salaam, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Pereira Ame Silima amewataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KtzjfF50490/XoXlbvxb8cI/AAAAAAALl2M/DEqgqXljR2AOlGrl9ylkx0Xsq3xpV63CACLcBGAsYHQ/s72-c/MABADILIKO%2BYA%2B%2BMAKAMANDA%2B2020-1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KvN4DGM1hXU/XoXqmk9kIrI/AAAAAAAC2T8/wEPSvZnqyuEJKT6LL0RLgRpGKu9nlPZ6QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma, kabla ya nafasi hiialikuwa Makao Makuu Dodoma.
Aliyekuwa Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) SALUM M. OMARI, anayekwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Mkoa wa...
10 years ago
MichuziNMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Katika mkutano huo, NMB imeweka mabanda ya maonyesho yanayotoa elimu juu ya huduma mbalimbali zinazopatikana ndani ya benki ya NMB pamoja na kutoa huduma za papo kwa papo ambapo wajumbe wa mkutano huo walipata wasaa wa kufungua akaunti za chap chap pamoja na kupata huduma za NMB Wakala.
Kwa huduma za NMB Wakala, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-9-768x458.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-9-768x458.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-6-1024x683.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Utafiti na Takwimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi, Maria Kulaya akizungumza wakati wa Kikao kazi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani), kilichofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya wizara, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3AA-7-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-2-768x512.jpg)
ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HK0yX5Vs2gI/Xl7CRmuEHjI/AAAAAAALgzE/oKZ3VfUaZCMIb3reewc1F2688ZBrPNStgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-2-768x512.jpg)