Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya Exim yadhamini michuano ya Gofu kwa maafisa watendaji wakuu kutoka makampuni mbalimbali viwanja vya Lugalo

LUGALO PIX2

Meneja Msaidizi wa Uwekezaji na Biashara Kubwa wa Benki ya Exim, Thobius Samwel (wa kwanza kushoto) akitoa maelezo juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki yake  kwa washiriki wa shindano la Gofu liloandaliwa kwa watendaji wakuu wa makampuni mbali mbali jijini Dar es Salaam lililofanyika katika viwanja vya Gofu vya Lugalo, mwishoni mwa wiki jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni Afisa Mauzo, wa benki hiyo Bw. Ishaq Samailla. Benki ya Exim ilikuwa miongoni mwa wadhamini.

LUGALO PIX3

LUGALO PIX4

Meneja Msaidizi wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya gofu NIC Corporate Lugalo Challenge 2015 kufanyika kesho viwanja vya TPDF

4Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa NIC Bi. Mwanaidi Shemweta akikabidhi zawadi kwa Japhet Masai Kapteni wa mchezo wa Gofu katika viwanja vya gofu vya TPDF Lugalo tayari kwa mashindano ya NIC Corporate Lugalo Challenge 2015 yanayofanyika kesho February 28 kuanzaia saa 7:00 asubuhi kwenye viwanja hivyo yakishirikisha wachezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya Tanzania.Mpaka sasa wachezaji 60 wameshathibitisha kushiriki katika mashindano hayo na wachezaji wengine...

 

10 years ago

Michuzi

DCB BENKI WATOA HISA KWA MAKAMPUNI MBALIMBALI

  Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akitoa nasaha zake kwa wanahisa wa DCB benki waliohudhulia katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.Mkurugenzi Mtendaji wa  DCB benki, Edmund Mkwawa akizungumza na wadau wa hisa katika mkutano uliokutanisha wadau wa hisa ikiwa kwa kipindi chote cha miaka 13 benki hiyo imepiga hatua na kuwa na matawi 8 Dar es salaam na mawakala 113 katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaa jana.   Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

PPF YAENDESHA SEMINA KWA MAAFISA WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KATIKA (KANDA YA KINONDONI) MKOA WA TANGA LEO

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Bw. Salum Chima akizungumza wakati akifungua semina ya Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika  (Kanda ya Kinondoni) mkoani Tanga leo
Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF kanda ya Kinondoni (inayojumuisha wilaya za Kibaha,Bagamoyo na mkoa wa Tanga),Bi. Zahra Kayugwa akizungumza na washiriki wa semina ya Mfuko wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika (Kanda ya Kinondoni) mkoa wa Tanga leo.
Maafisa kutoka makampuni mbalimbali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini maonesho ya Tehema kwa vijana, Viwanja vya Posta

Moja

Ofisa kutoka mradi wa Data Huru ulio chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Daudi Fufuji akitoa maelekezo kuhusiana na namna ambavyo mradi huo unafanya kazi, maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.

Mbili

Wadau kutoka Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani, Goethe Institute wakiwa kwenye maonesho hayo.

Tatu

Baadhi ya mabanda ambayo wadau mbalimbali wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walihudhuria.

Nne

Wanafunzi wa Chuo cha A3 Institute wakionesha...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA KIMARIO WAAGWA VIWANJA VYA LUGALO DAR

Waziri Mwinyi (wa pili kulia) akikaribishwa na Waziri William Lukuvi. ...Akisaini kitabu cha wageni katika maombolezo hayo. Mkuu wa majeshi mstaafu Jenerali Robert Mboma akisaini kitabu cha maombolezo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Fastjet kutoa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege juu ya masuala ya wanyamapori

fastjet_2409696b

Kama sehemu ya mkakati wake wa kusaidia utoaji wa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege,kampuni ya Fastjet Tanzania imeingia katika makubaliano na kampuni inayojihusisha na wanyamapori ya Uholanzi ijulikanayo kamaAviAssist ambayo itatoa mafunzo kuhusu namna ya ulinzi wa wanyamapori kwa maafisa wa viwanja vya ndege.   Akizungumza na  vyombo vya habari, Meneja mkuu wa kampuni ya Fastjet ukanda wa Afrika Mashariki, Jimmy Kibati alisema kuwa, Fastjet itaendasha mafunzo haya katika ofisi zake...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.

Benki ya Exim sambamba na wafanyakazi wa benki hiyo hii leo wamekabidhi msaada ya vyakula kwenye vituo vinne vya kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu vilivyopo katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Mtwara na Tanga.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...

 

5 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO



Na Luteni Selemani Semunyu

Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...

 

5 years ago

Michuzi

PICHA MBALIMBALI ZA KUAGWA KWA MWILI WA MAREHEMU JAJI RAMADAHANI LEO KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR



Mke wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu  Augustino Ramadhani,  Saada Ramadhani (katikati)  ambaye  ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi  wa Tanzania (JWTZ) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe leo kwenye viwanja vya Karimjee vilivyoko Jijini Dar es Salaam wakati wa   Mazishi ya Kitaifa.Watoto wa  aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Marehemu  Augustino Ramadhani na ndugu wakimsaidia Mke wa marehemu, Saada Ramadhani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani