Kampuni ya Fastjet kutoa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege juu ya masuala ya wanyamapori
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.
11 years ago
GPLPSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Uingereza yashirikiana na TAKUKURU kutoa mafunzo kwa maafisa toka ofisi 27 za mikoa
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.
Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...
9 years ago
StarTV15 Dec
ILO kutoa mafunzo kazini kwa wahitimu wa elimu ya juu kukabiliana na tatizo la ajira
Wakati Tanzania ikikabiliwa na tatizo la ajira kwa vijana, vyuo vingi nchini bado vinatajwa kuwa na upungufu wa kutoa elimu kwa vitendo na kuwafanya vijana wanaomaliza elimu ya juu kushindwa kumudu ushindani katika soko la ajira.
Kutokana na upungufu huo unalisukuma Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuanzisha mafunzo ya unagezi wakimaanisha mafunzo kazini.
Mafunzo ya unagezi ni mafunzo yanayotolewa kwa vijana katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kipindi hiki ambacho...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UFoPIqQSGQ/VTfNzbIBCsI/AAAAAAAHSlM/2Ho8DN2sAOI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hn2IJ-Sikyo/VTfNzSW52oI/AAAAAAAHSlY/nwInPgfCaa0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NZUThdF43tM/VTfN0Kk3KXI/AAAAAAAHSlo/5BI8PVaCODs/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dol2qq6_UzU/VTfN0dIu_-I/AAAAAAAHSlg/iMtO0DobQ5Y/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Benki ya Exim yadhamini michuano ya Gofu kwa maafisa watendaji wakuu kutoka makampuni mbalimbali viwanja vya Lugalo
Meneja Msaidizi wa Uwekezaji na Biashara Kubwa wa Benki ya Exim, Thobius Samwel (wa kwanza kushoto) akitoa maelezo juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki yake kwa washiriki wa shindano la Gofu liloandaliwa kwa watendaji wakuu wa makampuni mbali mbali jijini Dar es Salaam lililofanyika katika viwanja vya Gofu vya Lugalo, mwishoni mwa wiki jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni Afisa Mauzo, wa benki hiyo Bw. Ishaq Samailla. Benki ya Exim ilikuwa miongoni mwa wadhamini.
Meneja Msaidizi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s72-c/1.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s640/1.jpg)
Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...