ILO kutoa mafunzo kazini kwa wahitimu wa elimu ya juu kukabiliana na tatizo la ajira
Wakati Tanzania ikikabiliwa na tatizo la ajira kwa vijana, vyuo vingi nchini bado vinatajwa kuwa na upungufu wa kutoa elimu kwa vitendo na kuwafanya vijana wanaomaliza elimu ya juu kushindwa kumudu ushindani katika soko la ajira.
Kutokana na upungufu huo unalisukuma Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuanzisha mafunzo ya unagezi wakimaanisha mafunzo kazini.
Mafunzo ya unagezi ni mafunzo yanayotolewa kwa vijana katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kipindi hiki ambacho...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-2048x2023.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5BQn0pPNOZM/XsfHc99rQII/AAAAAAALrQk/NUvausZn5vEpQNQ5vyDwWsM-FHKD4QKCQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-2048x2023.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-2.jpg)
Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wahitimu elimu ya juu wakosolewa
BAADHI ya wahitimu wa elimu juu hawana uelewa na ufahamu wa kutosha wa kile walichokisomea na mambo yanayoendelea kwenye mazingira husika. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Sekretarieti...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Je,elimu ya juu yawanufaisha Wahitimu?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s72-c/unnamed.jpg)
WWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_xB2NauOkQ/VAW758pLqFI/AAAAAAAGbb0/ntdu4_SxCXQ/s1600/unnamed.jpgn.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya Fastjet kutoa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege juu ya masuala ya wanyamapori