MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_arPARyx-Vk/XlOqPJdq7lI/AAAAAAALe_o/qfOGUYIKezMetCfhilaQh_Yj3qaKtd8gQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.
Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.
“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtUlo-M6tb0/Xmjblwr4YsI/AAAAAAALinM/ppg8FvXCPUoww-JQIm0hnTRGLCXQ_kaiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Tanzania_National_Park_Authority_Logo.jpg)
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtUlo-M6tb0/Xmjblwr4YsI/AAAAAAALinM/ppg8FvXCPUoww-JQIm0hnTRGLCXQ_kaiwCLcBGAsYHQ/s640/Tanzania_National_Park_Authority_Logo.jpg)
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wljyJXawgIw/XmU0t_S1naI/AAAAAAALh_0/b3corPBjGOYBUUuRGIO9DXdHbs41J-73wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AFUNGA MASHINDANO YA GOFU KUENZI WANAWAKE LUGALO
Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchi kusimama imara katika kujiendeleza katika nyanja mbali mbali ikiwemo michezo na kuliletea Taifa heshima bila kujali tofauti za jinsi walizonazo.
Aliyasema hayo wakati akifunga Mashindano ya kuadhimisha siku ya mwanamke duniani kwa mchezo wa Gofu katika yaliyofanyika Jana katika Uwanja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Mama Salama alisema licha ya michezo mingi...
10 years ago
Michuzi27 Feb
Mashindano ya gofu NIC Corporate Lugalo Challenge 2015 kufanyika kesho viwanja vya TPDF
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/455.jpg)
10 years ago
GPL11 years ago
Michuzi12 Mar
9 years ago
Habarileo31 Oct
Maandalizi ya kumwapisha rais mpya yapamba moto
SERIKALI imeendelea kuandaa mazingira ya sehemu itakayotumika kwa ajili ya kumwapisha Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Maandalizi ya mazingira hayo yanaenda sambamba na mazoezi ya kijeshi kwa ajili ya gwaride maalumu, litakalofanyika wakati wa kuapishwa kwake katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Maandalizi Mkutano Mkuu CUF yapamba moto
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMxowcxryHA/U5__ynaQQnI/AAAAAAAFrLc/g_sKjN5NIp8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jTel7SmhCs/U5__zY017EI/AAAAAAAFrLg/_2Rl4vI9zjs/s1600/unnamed.jpg)