Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea

Na Luteni Selemani SemunyuMAANDALIZI ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanzania vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO



Na Luteni Selemani Semunyu

Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...

 

5 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.

Na Luteni Selemani Semunyu

Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.

“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA KUUAGA MWILI WA KUAMBIA YANAENDELEA VIZURI

Makamu Mwenyekiti wa Bongo Movie Mahsen Awadhi Said ‘DK.Cheni (kushoto),akibadilishana mawazo na baadhi ya wajumbe wa Klabu ya Bongo Movie juu ya maandalizi ya msiba huo kwenye Viwanja vya Leaders Club. Msanii wa Filamu Ditto akipata kilaji wakati wa maandalizi na majadiliano ya shughuli za kuuaga mwili wa marehemu Kuambiana.…

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU: MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA YANAENDELEA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea japo kwa kiasi kikubwa hatma yake inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Juni 30, 2014) wakati akizungumza na Mameya wa Majiji, Manispaa na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya Tanzania katika kikao cha siku moja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Regal Naivera jijini Tanga.
Waziri Mkuu yuko Tanga kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi ya Kongamano la Uwekezaji katika Maeneo ya Kanda ya Ziwa yanaendelea

Maandalizi ya Kongamano la siku tatu la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,linalotarajiwa kufunguliwa kesho na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Balal,katika Hoteli ya Malaika jijini Mwanza,yanaendelea vyema kama ilivyopanga.Kongamano hilo ambalo ni la Nne Kitaifa,linaratibiwa na Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) ambapo wawekezaji mbali mbali watakutana na kujadiliana maswala mmbali mbali yahusuyo Uwekezaji katika sekta mbali mbali hapa nchini. Sehemu ya Mahema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya mazishi ya rais mstaafu Daniel Arap Moi yanaendelea

Matayarisho yanaendelea kwa kasi katika shule ya Kabarak, kwenye boma la aliyekuwa rais Daniel arap Moi.

 

11 years ago

TheCitizen

Moshi golfer steals show at Lugalo Open tournament

Moshi Club’s golfer Abas Adam lived up to his billing as he carded 157 gross strokes to lay his hands on the NHC Lugalo Open trophy. 

 

11 years ago

TheCitizen

Makala begins preps for Lugalo Open title defence

Michael Makala, one of the leading golfers in the country, has embarked on training ahead of the Lugalo Open.

 

11 years ago

TheCitizen

Moshi golfer beats Mollel to Lugalo Open trophy

Moshi Club golfer Abas Adam lived up to his billing after carding 157 gross strokes to lay his hands on a shiny NHC Lugalo Open trophy on Sunday evening. The two-day 36-hole Stroke Play tournament was held at the Lugalo Club and Adam looks to have re-discovered his good form after struggling for the past few weeks. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani