MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_arPARyx-Vk/XlOqPJdq7lI/AAAAAAALe_o/qfOGUYIKezMetCfhilaQh_Yj3qaKtd8gQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.
“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s640/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xtUlo-M6tb0/Xmjblwr4YsI/AAAAAAALinM/ppg8FvXCPUoww-JQIm0hnTRGLCXQ_kaiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Tanzania_National_Park_Authority_Logo.jpg)
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtUlo-M6tb0/Xmjblwr4YsI/AAAAAAALinM/ppg8FvXCPUoww-JQIm0hnTRGLCXQ_kaiwCLcBGAsYHQ/s640/Tanzania_National_Park_Authority_Logo.jpg)
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
10 years ago
Michuzi27 Feb
Mashindano ya gofu NIC Corporate Lugalo Challenge 2015 kufanyika kesho viwanja vya TPDF
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/455.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wljyJXawgIw/XmU0t_S1naI/AAAAAAALh_0/b3corPBjGOYBUUuRGIO9DXdHbs41J-73wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AFUNGA MASHINDANO YA GOFU KUENZI WANAWAKE LUGALO
Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchi kusimama imara katika kujiendeleza katika nyanja mbali mbali ikiwemo michezo na kuliletea Taifa heshima bila kujali tofauti za jinsi walizonazo.
Aliyasema hayo wakati akifunga Mashindano ya kuadhimisha siku ya mwanamke duniani kwa mchezo wa Gofu katika yaliyofanyika Jana katika Uwanja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Mama Salama alisema licha ya michezo mingi...
11 years ago
MichuziMashindano ya Mchezo wa Gofu yafanyika jijini Dar
Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na BancABC, yalifanyikia kwenye viwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam. Wachezaji hao ambao walizawadiwa vifaa mbalimbali vya kuchezea mchezo huo ni Peter Fiwa, Moses Namuhisa, Shaban Kibuna,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bWq-rpgCTZo/U0xdqUwbrqI/AAAAAAAFax8/hSbqt998OPs/s72-c/25f455aeb60be98c69b314e108d36d18.jpg)
ajali lugalo jijini DAr es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWq-rpgCTZo/U0xdqUwbrqI/AAAAAAAFax8/hSbqt998OPs/s1600/25f455aeb60be98c69b314e108d36d18.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BVQ1YTGvBdA/U0xdqQ7HGAI/AAAAAAAFax4/wiS4SQtqzUY/s1600/e637160a1513397b39cb2eba8d15776c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EVoz2JuIkmA/U0xc-6S18VI/AAAAAAAFaxw/pWHBQ-MwsrU/s1600/cae2072ea9c0eb34c55e553afb945c32.jpg)
9 years ago
VijimamboMASHINDANO YA KUTUNISHA MISULI KUFANYIKA AGOSTI 29, 2015 JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA BAISKELI KUFANYIKA JIJINI DAR JUNI 14 MWAKA HUU.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO YA KAIZEN KUFANYIKA JIJINI DAR, WAZIRI WA VIWANDA MGENI RASMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ElSwMzscT84/XkakvaHnobI/AAAAAAALdYE/sPUaTlBm64omHwUYBLDFRERL20r1hDxcQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B4.37.04%2BPM.jpeg)
MASHINDANO ya nne ya KAIZEN kufanyika jijini Dar es Salaam huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Wizara ya Viwanda na biashara, Innocent Bashungwa.
Mashindano ya KAIZEN kwa hapa nchini yamekuwa yakifanyika kila mwaka ifikapo Februali, 18, kwa mwaka huu yanalengo la kubadilishana uzoefu na kuhamasisha...