MAMA SALMA KIKWETE AFUNGA MASHINDANO YA GOFU KUENZI WANAWAKE LUGALO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wljyJXawgIw/XmU0t_S1naI/AAAAAAALh_0/b3corPBjGOYBUUuRGIO9DXdHbs41J-73wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchi kusimama imara katika kujiendeleza katika nyanja mbali mbali ikiwemo michezo na kuliletea Taifa heshima bila kujali tofauti za jinsi walizonazo.
Aliyasema hayo wakati akifunga Mashindano ya kuadhimisha siku ya mwanamke duniani kwa mchezo wa Gofu katika yaliyofanyika Jana katika Uwanja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Mama Salama alisema licha ya michezo mingi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI MASHINE YA KUPIMIA SARATANI YA MATITI KWA AKINA MAMA HOSPITALI KUU YA JESHI LUGALO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s640/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_arPARyx-Vk/XlOqPJdq7lI/AAAAAAALe_o/qfOGUYIKezMetCfhilaQh_Yj3qaKtd8gQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.
Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.
“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...
10 years ago
Michuzi27 Feb
Mashindano ya gofu NIC Corporate Lugalo Challenge 2015 kufanyika kesho viwanja vya TPDF
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/455.jpg)
9 years ago
Michuzi04 Oct
WANAWAKE JITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA - MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama salma kikwete azindua chama cha umoja wa wanawake wa mbagala
![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1IfRW2mFTN0/U0VIkghLSXI/AAAAAAAFZdY/5AfztZ0mCaI/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-f28F4JQUn2k/U0VIlPl5HKI/AAAAAAAFZdw/hX-7me2ow1k/s1600/unnamed+(33).jpg)
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s72-c/MamaKikwete_.jpg)
MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s1600/MamaKikwete_.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo [WAMA] anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 8 mwaka huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam .
Akizungumzia maadhimisho hayo leo jijini Dar es salaam , Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar se salaam Mhe. Raymond Mushi amesema kuwa maadhimisho hayo mwaka huu yataongozwa na kauli mbiu isemayo “Uwezeshaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Wu1o3o64V28/VPwaxPbcW9I/AAAAAAAARFE/PVJonW3zDk4/s72-c/013.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wu1o3o64V28/VPwaxPbcW9I/AAAAAAAARFE/PVJonW3zDk4/s640/013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4sONPbnJ9hM/VPwah4DnP-I/AAAAAAAARD0/1r1LWpRmv1E/s640/10.jpg)