Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi


Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza  mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi

1

Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.

2

Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...

 

5 years ago

LetsRun.Com

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon  LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs  Daily NationView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

ECOBANK YASHIRIKI KILI MARATHON 2020

ECOBANK Tanzania imeshiriki mbio za Kilimanjaro Marathon kwa mwaka 2020 na kushiriki katika ukimbiaji wa mbio za Marathoni za kilomita 42.2 na mbio za nusu Marathoni za kilomita 21.1. Katika mbio hizo mshiriki kutoka Ecobank Tanzania Tusekile Mwakyembe aliibuka kinara kwa kumaliza kukimbia mbio za kilomita 42.2 akitumia masaa matani na dakika 27 pekee.

Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na Waziri mwenye dhamana ya utalii Dkt. Hamis Kigwangala amewapongeza washiriki na kuwashukuru waandaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Absa Tanzania yadhamini Kili Marathon 2020 kwa mafanikio

 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (katikati), pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakishiriki mbio za Kilomita 21 za Kilimanjaro marathon pamoja na wakimbiaji wengine. Absa ilikuwa mmoja wa wadhamini ikigharamia  kituo cha kutoa maji ya kunywa na viburudisho kwa wakimbiaji. Mashindano hayo yalifanyika mjini Moshi, Kilimanjaro leo.   Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (kushoto),  akimpongeza mmoja wa wakimbiaji wao...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) KUTOHUSIKA NA MASHINDANO YA MBIO ZA HEART MARATHON 2020

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) inapenda kuujulisha Umma kuwa haihusiki kwa njia moja au nyingine na mashindano ya mbio za Heart Marathon 2020 yaliyokuwa yafanyike tarehe 19 Aprili mwaka huu jijini Dar es Salaam na Zanzibar na kuahirishwa kutokana na kuwepo kwa ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID – 19).

Mbio hizo za Heart Marathon ambazo zimepangwa kufanyika siku za mbeleni zimeandaliwa na Asasi ya kiraia ya Tanzania Health Summit na siyo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete...

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa DCB washiriki Kilimanjaro Marathon mjini Moshi.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (Katikati), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Anna Mghwira (wa pili kushoto) pamoja na baadhi ya wakimbiaji wa Benki ya Biashara ya DCB wakishiriki mbio za kujifurahisha za kilomita 5 wakati wa mashindano ya Kilimanjaro Marathon 2020 yaliyofanyika katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi, Kimanjaro leo.  Wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB, wakishiriki mbio za Kilomita 21 pamoja na wakimbiaji wengine katika...

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi

Na Dixon Busagaga  wa Globu ya Jamii, Moshi.   Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.  Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.   Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...

 

10 years ago

Michuzi

Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi

Mbio za 13 za Kilimanjaro Marathon ambazo zimepangwa kufanyika Machi 1, 2015 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zimepata msisimko mpya baada ya wanariadha nyota wa Tanzania kuthibitisha kushiriki.
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani