Wafanyakazi wa DCB washiriki Kilimanjaro Marathon mjini Moshi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (Katikati), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Anna Mghwira (wa pili kushoto) pamoja na baadhi ya wakimbiaji wa Benki ya Biashara ya DCB wakishiriki mbio za kujifurahisha za kilomita 5 wakati wa mashindano ya Kilimanjaro Marathon 2020 yaliyofanyika katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi, Kimanjaro leo.
Wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB, wakishiriki mbio za Kilomita 21 pamoja na wakimbiaji wengine katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXj6rJYcCt8/Uw5maf0NfnI/AAAAAAAFP5k/yO3exLmetME/s72-c/unnamed+%252847%2529.jpg)
Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-vKs9D-EVnKQ/VNtJv3rkdhI/AAAAAAAHDEo/PQdBL_XUxUI/s1600/killiLogoNew.jpg)
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi
Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.
Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s72-c/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi
![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s640/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/781e28e9-dfd5-4861-9b40-14bb611c02f6.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.
10 years ago
MichuziMKUTANO WA CHADEMA MJINI MOSHI MKOANI KILIMANJARO.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnEPiqq8ZVw/VJWhVq9FcPI/AAAAAAAG4vM/6Hh7QqprKTA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BU5zIfznL_g/VJWjmzqXxEI/AAAAAAAG4vY/r9PiXrr-Pwk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RxPaJvRXxtE/VJWjm4Ovi6I/AAAAAAAG4vk/9YX-hl5NRVM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gW7TTBC8eFU/VJWjm8tDYoI/AAAAAAAG4vc/ufi1ZNUD_Bg/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
MichuziMSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI
11 years ago
Michuzimnuso wa wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi