Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi. Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi. Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWafanyakazi wa DCB washiriki Kilimanjaro Marathon mjini Moshi.
10 years ago
MichuziKilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...
10 years ago
Michuzi26 Nov
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi
Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.
Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...
11 years ago
MichuziNSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014
11 years ago
MichuziMaelfu wajitokeza kujiandikisha Kilimanjaro Marathon 2014
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
MichuziMD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.
11 years ago
MichuziWashindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...