NSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014
Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Moshi. Wa nne kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Utekelezaji, Crescentius Magori ambaye alishiriki katika mbio za kilometa 21. Wa pili kulia ni Meneja Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Kilimanjaro, Delphina Masika.
Wanachama na wadau mbalimbali wa NSSF wakiwa medali zao baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro Marathon 2014 zilizofanyika Moshi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Mar
NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/web.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRjJBoxEmT9uJMDVsqeOpAZqrHt3Lmn70E3upIzGDbE4Zgme-c40ZoXF8YFKYIr8KkxsJg0*Z-fttEv9Z30aqEp/web3.jpg?width=650)
NSSF YANG'ARA MASHINDANO YA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON
11 years ago
MichuziMaelfu wajitokeza kujiandikisha Kilimanjaro Marathon 2014
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXj6rJYcCt8/Uw5maf0NfnI/AAAAAAAFP5k/yO3exLmetME/s72-c/unnamed+%252847%2529.jpg)
Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s72-c/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s1600/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014
MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....
10 years ago
MichuziUTT ILIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI 2014 PAMOJA NA MAONYESHO YA WAHANDISI
9 years ago
MichuziNSSF yapiga jeki Rock City Marathon kwa Sh 15M/-