Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014

MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014

BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...

 

11 years ago

TheCitizen

Sakilu does TZ proud at the Kili Marathon

cqueline Sakilu saved Tanzania’s face yesterday after grabbing a top prize at the Kilimanjaro Half Marathon, with the event once again witnessing Kenyans rule supreme.

 

11 years ago

Michuzi

NSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014

Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Moshi. Wa nne kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Utekelezaji,  Crescentius Magori  ambaye alishiriki katika mbio za kilometa 21. Wa pili kulia ni Meneja Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Kilimanjaro, Delphina Masika. Wanachama na wadau mbalimbali wa NSSF wakiwa medali zao baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro Marathon  2014 zilizofanyika Moshi,...

 

11 years ago

Michuzi

Maelfu wajitokeza kujiandikisha Kilimanjaro Marathon 2014

Ujenzi wa mabanda mbalimbali ndani ya uwanja wa Ushirika ukiendelea. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi

Na Dixon Busagaga  wa Globu ya Jamii, Moshi.   Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.  Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.   Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40

Zawadi za fedha taslimu kwa washindi wa Kilimanjaro Marathon 2014 zimeongezwa hadi zaidi ya shilingi milioni 40 na kuifanya mbio hii kuwa kati ya m io kubwa zaidi barani Afrika.
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...

 

11 years ago

TheCitizen

Injured Sakilu out of 2014 Games

Jackline Sakilu, the winner of the 2014 Ngorongoro Marathon, has withdrawn from the national team, a move that rules her out of the 2014 Commonwealth Games.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani