JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014
MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog21 Apr
Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon
![](http://1.bp.blogspot.com/--AvMCeMuqK8/U1SZ00-v0BI/AAAAAAAA5Ks/9oLepUXzUgU/s1600/NGOR+3.jpg)
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LoWsfvDgp_M/U1SZc1Is20I/AAAAAAAA5IY/UgK-RV9DK_0/s1600/NGOR+1.jpg)
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014
BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...
11 years ago
TheCitizen03 Mar
Sakilu does TZ proud at the Kili Marathon
11 years ago
MichuziNSSF ILIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2014
11 years ago
MichuziMaelfu wajitokeza kujiandikisha Kilimanjaro Marathon 2014
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXj6rJYcCt8/Uw5maf0NfnI/AAAAAAAFP5k/yO3exLmetME/s72-c/unnamed+%252847%2529.jpg)
Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s72-c/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s1600/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...
11 years ago
TheCitizen01 May
Injured Sakilu out of 2014 Games