Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014
BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziLUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014
MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Yaliyojiri Sokoine Mini Marathon 2014
MWISHONI mwa wiki, Aprili 12 mwaka huu, macho na masikio ya Watanzania wengi yalielekea katika Kijiji cha Monduli Juu, kilichopo Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, kufuatilia kumbukumbu za miaka 30...
5 years ago
MichuziMBIO ZA NGORONGORO MIN MARATHON KUFANYIKA APRIL 19 MWAKA HUU
Mazungumzo yakiendelea kuelezea msimu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon za mwaka huu April 19 wilayani Karatu picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Msimu wa mbio za Ngorongoro mwaka 2020...
11 years ago
Dewji Blog21 Apr
Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Sokoine marathon safi
11 years ago
AllAfrica.Com14 Apr
Sokoine Marathon to Become International Event
Daily News
Sokoine Marathon to Become International Event
AllAfrica.com
Arusha — AFTER running for two consecutive years, the annual Sokoine Marathon will now be registered to become one of the international races and be included in the world marathon timetables. Race coordinator Wilhelm Gidabuday said until now the ...
Kikwete calls for completion of Sokoine family homeDaily News
all 7
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
1,000 kushiriki Sokoine Mini Marathon
WANARIADHA zaidi ya 1,000 wamethibitisha kushiriki mbio za kumuenzi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Sokoine zitakazofanyika wilayani Monduli Aprili 12, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete. Mratibu wa...