Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014

BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON

Afisa utalii wa tanapa fredy shirima akiwa anamkabidhi zawadi Mwanariadha Reginal Lucian baada ya kushinda kilometa 42,baada ya kukimbia kwa muda wa  1:00:05. Baadhi ya wanariadha walifanikiwa kupata zawadi katika shindano Arusha tourism Marathon wakiwa katika picha ya pamoja .

Na Woinde Shizza,Arusha 

Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014

MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yaliyojiri Sokoine Mini Marathon 2014

MWISHONI mwa wiki, Aprili 12 mwaka huu, macho na masikio ya Watanzania wengi yalielekea katika Kijiji cha Monduli Juu, kilichopo Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, kufuatilia kumbukumbu za miaka 30...

 

5 years ago

Michuzi

MBIO ZA NGORONGORO MIN MARATHON KUFANYIKA APRIL 19 MWAKA HUU

Mratibu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon Meta Petro akiongea na vyombo vya habari leo jijini Arusha pembeni kulia ni kaimu Meneja wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Joyce Mgaya na kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya Mbio hizo Marcel Bituro picha na Ahmed Mahmoud wa Michuzi Tv Arusha.
Mazungumzo yakiendelea kuelezea msimu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon za mwaka huu April 19 wilayani Karatu picha na Ahmed Mahmoud Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Msimu wa mbio za Ngorongoro mwaka 2020...

 

11 years ago

Dewji Blog

Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Sokoine marathon safi

Zaidi ya wanariadha 1000 wanatarajiwa kushiriki mbio za Sokoine marathon za kumuenzi aliyekuwa waziri mkuu wa awamu ya kwanza, hayati Edward Sokoine.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Sokoine Marathon to Become International Event


Daily News
Sokoine Marathon to Become International Event
AllAfrica.com
Arusha — AFTER running for two consecutive years, the annual Sokoine Marathon will now be registered to become one of the international races and be included in the world marathon timetables. Race coordinator Wilhelm Gidabuday said until now the ...
Kikwete calls for completion of Sokoine family homeDaily News

all 7

 

11 years ago

Tanzania Daima

1,000 kushiriki Sokoine Mini Marathon

WANARIADHA zaidi ya 1,000 wamethibitisha kushiriki mbio za kumuenzi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Sokoine zitakazofanyika wilayani Monduli Aprili 12, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete. Mratibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani