MBIO ZA NGORONGORO MIN MARATHON KUFANYIKA APRIL 19 MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-lzxcmq-zAXY/Xmoo3B20_tI/AAAAAAALiw4/IMFTK7AB6tI8pP8Jcz9eX0HOV-odClC4QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200312_103909_875.jpg)
Mratibu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon Meta Petro akiongea na vyombo vya habari leo jijini Arusha pembeni kulia ni kaimu Meneja wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Joyce Mgaya na kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya Mbio hizo Marcel Bituro picha na Ahmed Mahmoud wa Michuzi Tv Arusha.
Mazungumzo yakiendelea kuelezea msimu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon za mwaka huu April 19 wilayani Karatu picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Msimu wa mbio za Ngorongoro mwaka 2020...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMBIO ZA KIMATAIFA ZA NGORONGORO MARATHONI SASA KUFANYIKA APRILI 18 MWAKA HUU
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathon sasa kufanyika Aprili 18
Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani Arusha.
Mkurugenzi wa Zara Tanzania Adventure na Zara Charity,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya mbio hizo ambazo zinadhaminiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity.
Mratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Meta Peter akizungumzuia wanariadha wa Tanzania ambao...
11 years ago
Daily News24 Jan
Ngorongoro half marathon set for April 19
Daily News
THE 7th Ngorongoro Half-Marathon will be held in Karatu, Arusha Region, on April 19, this year and is expected to attract many entries. The annual event, which is organised jointly by Zara Charity and the Rift Valley Athletics Club, will start from the ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s72-c/Exim%2BPix%2B1.jpg)
Benki ya Exim yapiga jeki mbio za marathon Ngorongoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-MBjxXEXvjl0/VTiHb2YGa4I/AAAAAAAC3hQ/qDDHXN2ufuc/s1600/Exim%2BPix%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k3YMfVYSBa4/VTiHhjbjobI/AAAAAAAC3hY/mUovDxR81o8/s1600/Exim%2BPix%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Muswada wa Sheria ya Habari sasa April mwaka huu
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Saidi Mtanda akiwasilisha taarifa ya kamati.
Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma
SERIKALI inatarajia kuwasilisha Muswada wa Sheria ya Habari katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi April mwaka huu ili kujadiliwa na kupitishwa kuwa Sheria kamili.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Saidi Mtanda wakati akiwasilisha taarifa ya kazi za kamati yake kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Alisema muswada huo...
10 years ago
Michuzi25 Sep
TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU