TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU
TUZO za Wanamichezo Bora wa Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) zinatarajiwa kufanyika Desemba 12 mwaka huu, huku Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) Group Limited ikijitokeza kuwa mdhamini mshiriki wa tuzo hizo kwa kutoa Sh. Milioni 10. Akizungumza na waandishi wa habari katika mgahawa wa City Sports Lounge, Dar es Salaam katika hafla ya kutangaza udhamini huo jana, Meneja Mkuu wa SSB Limited, Said Muhammad Said alisema wameamua kudhamini tuzo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORSGJBhpIG6uCjboMYKY2zp0DSUul0a4xHDfsTZFMJGIeqtNunWukue6t2ZCwdj9wcJqViKMrEBvWNa5yYAjCNJ/amir.jpg)
UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SkMbLJ4ZyW0/VoKJwK4KprI/AAAAAAAIPNk/nozDdoOZmRQ/s72-c/3.jpg)
MKESHA WA MWAKA MPYA KITAIFA KUFANYIKA VIWANJA VYA UHURU DESEMBA 31.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SkMbLJ4ZyW0/VoKJwK4KprI/AAAAAAAIPNk/nozDdoOZmRQ/s320/3.jpg)
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia ni Askofu wa huduma ya Tanzania Fellowship Churches (TFC), Askofu ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s72-c/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
TASWA FC KUJIPIMA NA BAOBAB SEKONDARI JUNI 5 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-aQ3jX8hwxK4/VW8BxbcSbFI/AAAAAAAHbuU/MRGHOnKL5MM/s640/Baobab%2BStaff%2Bpic1-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mdNJu4UUSrQ/VW8BxAf_vCI/AAAAAAAHbuQ/zmgbtfhjpCk/s640/taswa%2Bfc.jpg)
Na Mwandishi wetuTIMU ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa FC) Ijumaa hii itacheza mchezo maalum wa kirafiki dhidi ya timu ya wafanyakazi wa shule ya sekondari ya Baobab ya Bagamoyo.
Mchezo huo umepangwa kuanza saa 10.00 jioni kwenye uwanja wa Shule ya sekondari ya Baobab na mgeni...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Dec
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA USIKU HUU
![0001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0001.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0031.jpg)
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA KILIMANJARO AMBASSADOR KUFANYIKA JULAI 24 MWAKA HUU