MKESHA WA MWAKA MPYA KITAIFA KUFANYIKA VIWANJA VYA UHURU DESEMBA 31.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SkMbLJ4ZyW0/VoKJwK4KprI/AAAAAAAIPNk/nozDdoOZmRQ/s72-c/3.jpg)
Na Zainabu Hamis,Globu ya Jamii.MAASKOFU na Wachungaji wa kamati ya maandalizi ya Mkesha wa mwaka mpya Kitaifa kufanyika katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam Desemba 31,Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Askofu Godfrey Malassy, wamewaomba watanzania wote kujitokeza siku ya Desemba 31 katika kuliombea Amani na Utulivu wa Taifa letu.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia ni Askofu wa huduma ya Tanzania Fellowship Churches (TFC), Askofu ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mkesha wa kitaifa wa dini zote Desemba 31
KAMATI ya Mkesha wa Kitaifa-Dua Maalumu imepanga kufanya mkesha wa kitaifa, utakaoshirikisha wananchi wote na waumini wa dini zote, ili kuiombea nchi iendelee kuwa na amani na utulivu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
OLD IS GOLD TAARAB KUFANYIKA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA SAFARI CARNIVAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-JLsFMvTplw4/VKMC2_IEPCI/AAAAAAAG6oI/nndlML0MheQ/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
SAFARI Carnival kwa kushirikiana na Asia Idarous Khamsin (Fabak fashions) usiku wa 31/12/2014, Wameandaa shoo maalum ya Mkesha wa mwaka mpya 'Old Is Gold taarab', Ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin alieleza shoo hiyo maalum wadau
mbalimbali watakutana kuupokea mwaka kwa pamoja huku wakipata burudani ya muziki wa taarab wa zamani 'Old is Gold' pamoja na 'Surprise' kibao.
"Kwa kiingilio cha...
10 years ago
GPLMKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi25 Sep
TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU
10 years ago
VijimamboUSIKU WA MKESHA WA FASHFASH VIWANJA VYA MAISARA, ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog29 May
Siku ya Mazingira Kitaifa kufanyika Mkoani Tanga, Juni 5 mwaka huu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge (Pichani)
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira...
9 years ago
MichuziMKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
11 years ago
Michuzi25 May