USIKU WA MKESHA WA FASHFASH VIWANJA VYA MAISARA, ZANZIBAR
Wananchi wakiwa katika viwanja vya maisara wakisubiri muda ili kushuhudia upigaji wa fashfashi kwa ajili ya kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, katika viwanja vya maisara kushiriki katika hafla hiyo ya maadhimisho.
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi Mhe Ayoub Mahmoud, alipowasilin katika viwanja hivyo kushiriki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSwala ya Eid el Fitri iliyoswaliwa kitaifa katika viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Zanzibar leo asubuhi
11 years ago
GPL
SWALA YA EID EL FITRI ILIYOSWALIWA KITAIFA KATIKA VIWANJA VYA MAISARA SULEIMAN MJINI ZANZIBAR LEO ASUBUHI
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AUNGURUMA KATIKA VIWANJA VYA MAISARA
Chama Cha Wananchi CUF kimefunga rasmi kampeni zake za uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na kuwataka wadau wa uchaguzi kuheshimu maamuzi ya wananchi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.Akizungumza kwenye mkutano huo wa ufungaji wa kampeni uliofanyika viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wananchi ndio wenye mamlaka ya kuiweka Serikali madarakani, hivyo...
9 years ago
Michuzi
MKESHA WA MWAKA MPYA KITAIFA KUFANYIKA VIWANJA VYA UHURU DESEMBA 31.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia ni Askofu wa huduma ya Tanzania Fellowship Churches (TFC), Askofu ...
10 years ago
MichuziMkutano wa Kampeni Mgombea Urais wa CCM Zanzibar Dk Shein, Viwanja vya Bungi Zanzibar
5 years ago
Michuzi
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR


10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Matukio mbalimbali kwenye show ya Kili Fest viwanja vya Leaders usiku wa jana
Mwanamuziki wa Bongo, Farid Kubanda ama Fid Q, akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la KiliFest ndani ya viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam. Fid Q, aliweza kukonga nyoyo kwa kupiga nyimbo mbalimbali huku akiwapagawisha na freestyle za papo kwa papo hali iliyoinua shangwe za mara kwa mara kutoka kwa mashabiki lukuki waliojitokeza kwenye shoo hiyo hapo jana usiku.( Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Mwanamuziki wa Rubby, akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la...
10 years ago
MichuziBonaza la Masauni Cup Lafana Viwanja vya Mnazi Mmoja Unguja Usiku Huu
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
onaza la Masauni Cup Lafani Viwanja vya Mnazi Mmoja Usiku, Kilimani na Mkunazini imeshinda 2—0
Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Mkunazini iliotowa kipigo kwa timu ya Kilimani mabao 2–0. mchezo uliofanyika uwanja wa malindi mnazi mmoja
Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Kilimani iliyokubali kipigo cha mabao 2–0.wakati wa mchezo Bonaza unaoendelea katika viwanja vya malindi mnazi mmoja usiku.
Kikosi cha timu ya Kilimani kinachoshiriki michezo ya Bonaza Masauni Cup inayofanyika katika viwanja...