Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio mbalimbali kwenye show ya Kili Fest viwanja vya Leaders usiku wa jana

DSC_1967Mwanamuziki wa Bongo, Farid Kubanda ama Fid Q, akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la KiliFest ndani ya viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam.  Fid Q, aliweza kukonga nyoyo kwa kupiga nyimbo mbalimbali huku akiwapagawisha na freestyle za papo kwa papo hali iliyoinua shangwe za mara kwa mara kutoka kwa mashabiki lukuki waliojitokeza kwenye shoo hiyo hapo jana usiku.( Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).

DSC_1899

DSC_1896

Mwanamuziki wa  Rubby,  akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA

Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA

Credit:MillardAyo.Com

 

10 years ago

GPL

BURUDANI ZA KILI MUSIC TOUR NDANI YA LEADERS CLUB JIJINI DAR USIKU HUU

Bendi ya Mapacha Watatu ikifanya mambo ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar usiku huu katika Tamasha la Kili Music Tour.…

 

11 years ago

Michuzi

7th Auto Fest 2014 CALLING EXHIBITORS "Tanzania's Premier Automotive Event" Tarehe 19 - 21 September '14 , Viwanja vya BAIFRA Kinondoni

 Kwa mara ya 7 mfululizo AUTOFEST sasa imekuja na mashamsham kabambe kwa wadau wote wa magari. Maonyesho haya yatahusisha- wauzaji magari

- Vipuri vya magari

- watoa huduma shirikishi (Bima , Bank,n.k)

- Kwa upande wa Michezo Zawadi zakumwaga bila kusahau 4 x 4 challenge , Norinda (Drifts).

- V.I.P lounge na Nyama Choma Kama   kawaida


UNAKARIBISHWA KUCHUKUA NAFASI YAKO MAPEMA KAMA UNAHUSIKA NA:

Commercial Vehicles 4 WD's

Transportation Vehicles

Motorcycles & Scooters

Auto Spare Parts

Tyres &...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE ALIPOUNGURUMA VIWANJA VYA FURAHISHA MWANZA JANA

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Chadema, Halima Mdee, akipeana mikono kusalimiana na wafuasi wa Chadema baada ya kumaliza kuwahutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza jana. Mbunge huyo mara baada ya kumaliza kuwahutubia wafuasi wake, aliwatangazia kuanza kutoa chochote kitu ili kuchangia na kumwezesha Mbunge huyo kuweza kuendelea na ziara za mikiani ili kufanya mikutano kama huo, ambapo walijitokeza na kuchangia kila mmoja kwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hiki Ndicho Kilichotoakea Kwenye House Party ya Shilole ‘Karunguyeye’ Usiku wa Jana

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole aka shishi bybee ambaye amejipa jina la Karunguyeye siku ya jana alifanya pati nyumbani kwake ‘House Party’ na kuwaalika baadhi ya mastaa wenzake.
Kajala, Mwasiti, Linnah,Baba Levo, Baby Madah,Millard Ayo, Tudd Thomas na Makomandoo hao nibaadhi ya watu waliohudhulia pati hiyo.

Hizi ni baadhui ya picha za pati hiyo.

SHILOLE23 SHILOLE34

SHILOLE65 SHILOLE345 SHILOLE342 SHILOLE332

 

 

11 years ago

GPL

VODACOM EXPO LAANZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

Jukwaa la Vodacom expo. Matina Nkurlu, Meneja uhusiano wa Vodacom Tanzania akijadiliana jambo na mwenzie.…

 

10 years ago

Vijimambo

USIKU WA MKESHA WA FASHFASH VIWANJA VYA MAISARA, ZANZIBAR

Wananchi wakiwa katika viwanja vya maisara wakisubiri muda ili kushuhudia upigaji wa fashfashi kwa ajili ya kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe Abdallah Mwinyi Khamis, katika viwanja vya maisara kushiriki katika hafla hiyo ya maadhimisho.Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi Mhe Ayoub Mahmoud, alipowasilin katika viwanja hivyo kushiriki...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa Jeneza likiwa sehemu maalum ya kuagia (PICHA NA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani