MKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsini akihesabu sekunde zilizoslia kuelekea mwaka mpya kwenye sherehe ya mkesha wa mwaka mpya 2016 iliyofanyika Lanham, Maryland siku ya Alhamisi Desemba 31, 2015 iliyoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV na kuwakutanisha wana DMV na familia zao wakiwemo marafiki kutoka majimbo mengine huku wengine wakiokea Tanzania. PICHA NA KILIMANJARO STUDIO
Wafuangaji champagne wakiwa tayari kama kikosi cha mizinga wakisubilia sekunde zilizobaki kuingia mwaka 2016 kuachia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMISS TANZANIA USA AHUDHURIA MKESHA WA MWAKA MPYA DMV
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Mama wa Mitindo Asya Idarous Khamsin anogesha mkesha wa mwaka mpya DMV!!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N6QMQc0yfR4ohZZjvvBPH-5QRwbU0NgGIQuOxcDHVL5uEEh2LaxyPmHdPqJHkED4nGZ2QI8zBK3p2-vrSkIJmW5/suleimankova.jpg?width=550)
MARUFUKU KULIPUA FATAKI MKESHA WA MWAKA MPYA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0527.jpg?width=640)
SKYLIGHT BAND YAPAGAWISHA MKESHA WA MWAKA MPYA
10 years ago
StarTV30 Dec
Dk. Bilal mgeni rasmi mkesha wa mwaka mpya.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Gharib Bilal anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Mkesha maalum wa mwaka mpya utakaofanyika Desemba 31 Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuliombea Taifa amani na utulivu kwa mwaka ujao wa 2015.
Mkesha huo ulioandaliwa na kamati maalum ya mikesha ya mwaka mpya tayari maandalizi yake yamekamilika ambapo pia utafanyika kwenye mikoa mingine 16 Nchini na wakuu wa mikoa hiyo watakuwa wageni...
10 years ago
Michuzi01 Jan
WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike na wakiume 10 na mapacha moja na kati ya watoto hao 21...
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Kova kuweka ulinzi mzito mkesha wa mwaka mpya
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.
10 years ago
Vijimambo01 Jan
MOROGORO WASHEREKEA MKESHA WA MWAKA MPYA KWENYE MAFURIKO
![](http://www.itv.co.tz/media/image/mvua31.jpg)