WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike na wakiume 10 na mapacha moja na kati ya watoto hao 21...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Dec
Watoto 124 wazaliwa mkesha wa Krismasi
WATOTO 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Siku Kuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam huku wengi wakiwa wa kiume.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Watoto 132 wazaliwa mkesha wa Krismasi, Wakiume 77 na wakike 55.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s72-c/image061%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI LIMEJIPANGA KIKAMILIFU KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s1600/image061%2B(1).jpg)
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...
10 years ago
GPLMASHAUZI WAZIDI KUNOGESHA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015 DAR LIVE
10 years ago
GPL01 Jan
9 years ago
Mwananchi25 Dec
79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi
9 years ago
MichuziMKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0527.jpg?width=640)
SKYLIGHT BAND YAPAGAWISHA MKESHA WA MWAKA MPYA
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya