Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike  na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike  na wakiume 10 na  mapacha moja na kati ya watoto hao 21...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Watoto 124 wazaliwa mkesha wa Krismasi

Wakina mama Husna Mohamed (kulia)  na Amina Abdallah (kushoto) wakiwa na watoto wachanga baada ya kujifungua usiku wa Noeli katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam. (Na Mpigapicha Wetu).WATOTO 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Siku Kuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam huku wengi wakiwa wa kiume.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto 132 wazaliwa mkesha wa Krismasi, Wakiume 77 na wakike 55.

Watoto 132 wamezaliwa usiku wa kuamkia Sikukuu ya Krismasi katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Morogoro.

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LIMEJIPANGA KIKAMILIFU KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepanga mikakati madhubuti ya kuhakikisha kwamba mkesha kuelekea Mwaka Mpya 2015 unakuwa salama, sherehe za mwaka mpya, kuandamana, baadhi ya watu wachache hasa vijana hupenda kuchoma matairi barabarani, kulipua fataki na vurugu za kila aina kwa lengo la kuonyesha furaha yao ya kuingia mwaka 2015.
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...

 

10 years ago

GPL

MASHAUZI WAZIDI KUNOGESHA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015 DAR LIVE

Mpiga gitaa la Solo wa Kundi la Mashauzi Classic,Jumanne Mohammed akilitandika gitaa kwa ustadi. Muimbaji wa Mashauzi Classic, Hasheem Mohammed…

 

9 years ago

Mwananchi

79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi

Jumla ya watoto 79 wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi katika hospitali za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam. Kati ya idadi hiyo, watoto wawili wamezaliwa njiti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili na hali zao zinaendelea vizuri.

 

9 years ago

Michuzi

MKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA

 Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsini akihesabu sekunde zilizoslia kuelekea mwaka mpya kwenye sherehe ya mkesha wa mwaka mpya 2016 iliyofanyika Lanham, Maryland siku ya Alhamisi Desemba 31, 2015 iliyoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania DMV na kuwakutanisha wana DMV na familia zao wakiwemo marafiki kutoka majimbo mengine huku wengine wakiokea Tanzania. PICHA NA KILIMANJARO STUDIOWafuangaji champagne wakiwa tayari kama kikosi cha mizinga wakisubilia sekunde zilizobaki kuingia mwaka 2016 kuachia...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAPAGAWISHA MKESHA WA MWAKA MPYA

Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza waliojumuika na Skylight Band katika mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHACHA kwenye party la nguvu lililopewa jina la "THE ROCK CITY CRUISE PARTY" maalum kwa wakazi wa Mwanza na kwa mara ya kwanza kushuhudia steji mpya pamoja na vyombo vipya vya Bendi hiyo. Mmiliki wa Pantoni FB CHACHA Bw. Kitama akiwasalimia mashabiki wa Skylight Band jijini...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya

Jeshi la Polisi nchini limeonya wananchi kujiepusha na vitendo vyovyote vitakavyoathiri amani iliyopo wakati huu dunia ikielekea kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani