79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi
Jumla ya watoto 79 wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi katika hospitali za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam. Kati ya idadi hiyo, watoto wawili wamezaliwa njiti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili na hali zao zinaendelea vizuri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Dec
Watoto 124 wazaliwa mkesha wa Krismasi
WATOTO 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Siku Kuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam huku wengi wakiwa wa kiume.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Watoto 132 wazaliwa mkesha wa Krismasi, Wakiume 77 na wakike 55.
10 years ago
Michuzi01 Jan
WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike na wakiume 10 na mapacha moja na kati ya watoto hao 21...
9 years ago
Habarileo24 Dec
Pengo kuongoza misa mkesha wa Krismasi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Policapy Kardinali Pengo leo saa tatu usiku anatarajiwa kuongoza misa ya mkesha wa sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo.
10 years ago
GPL![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/05/mtitu.jpg?width=650)
MKESHA WA KRISMASI, MKE WA MTITU AFANYA KIBAO KATA!
10 years ago
Vijimambo25 Dec
POPE FRANCIS AONGOZA MISA YA MKESHA WA KRISMASI VATICAN CITY
![Pope Francis uncovers a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+1LZ-Z6UQyy1l.jpg)
Pope Francis akiifunua sanamu ya mtoto Yesu siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.
![Pope Francis kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+4ga-6bjN4CVl.jpg)
Pope Francis akibusu goti sanamu ya mtoto Yesu kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilic siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.
![Pope Francis attends the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+FENr3ekrDlgl.jpg)
Pope Francis akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi katika kanisa la Mt. Peter ndani ya mji wa...
11 years ago
GPLJAHAZI YANOGESHA MKESHA WA PASAKA DAR LIVE
10 years ago
MichuziMKESHA WA KULIOMBEA TAIFA KUFANIYIKA JIJINI DAR DESEMBA 31,2014
9 years ago
Global Publishers26 Dec