MKESHA WA KRISMASI, MKE WA MTITU AFANYA KIBAO KATA!
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/05/mtitu.jpg?width=650)
Mkurugenzi wa Kampuni ya 5Effects, William Mtitu akiwa na mkewe Yovitha Mtitu . Stori: Waandishi wetu Mke wa Mkurugenzi wa Kampuni ya 5Effects, William Mtitu, Yovitha Mtitu, wikiendi iliyopita kwenye Mkesha wa Krismasi alifanya kibao kata nyumbani kwake ambapo alialika kikundi cha ngoma ya Baikoko na kukesha wakikata mauno na mastaa kibao wa Bongo. Sherehe hiyo iliibua minong’ono kwani baadhi ya waalikwa walikuwa wakihoji...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fnGPnI*HBH9*uOxG9XzXLX5a5uIRhb6eLgBteDh17TvKYo53DbJXQ9tuFepbGwuVJtyDD9d1GzAUc9Z0i02BdB/MTITUdf.jpg?width=550)
MTITU AVAMIA KIBAO KATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkRZhYCk0DZTHJi3n-wlCr5btgxIREDQWqlCWNeIGNY95k37edP-ZSQm8Um830ZG16xtz4GsKLQO2RhQl6Iux3U/BACKRISASI.jpg)
MKE AKODI KIBAO KATA KUMKOMESHA MCHEPUKO!
9 years ago
Mwananchi25 Dec
79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi
9 years ago
Habarileo24 Dec
Pengo kuongoza misa mkesha wa Krismasi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Policapy Kardinali Pengo leo saa tatu usiku anatarajiwa kuongoza misa ya mkesha wa sikukuu ya Kuzaliwa Yesu Kristo.
11 years ago
Habarileo26 Dec
Watoto 124 wazaliwa mkesha wa Krismasi
WATOTO 124 wakiwemo wa kiume 80 wamezaliwa katika mkesha wa Siku Kuu ya Krismasi katika hospitali za Dar es Salaam huku wengi wakiwa wa kiume.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Watoto 132 wazaliwa mkesha wa Krismasi, Wakiume 77 na wakike 55.
10 years ago
Vijimambo25 Dec
POPE FRANCIS AONGOZA MISA YA MKESHA WA KRISMASI VATICAN CITY
![Pope Francis uncovers a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+1LZ-Z6UQyy1l.jpg)
Pope Francis akiifunua sanamu ya mtoto Yesu siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.
![Pope Francis kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+4ga-6bjN4CVl.jpg)
Pope Francis akibusu goti sanamu ya mtoto Yesu kisses the knee of a statue of the baby Jesus as he leads the Christmas night mass at St. Peter's Basilic siku ya Desemba 24, 2014 wakati alipokua akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi kwenye mji wa Vatican.
![Pope Francis attends the Christmas night mass at St. Peter's Basilica on December 24, 2014 in Vatican City, Vatican. Pope Francis has written a Christmas letter to Christians in the Middle East to express his closeness to them at a time of 'afflictions and tribulations' due to 'the continuing hostilities in the region, but especially because of the work of a newer and disturbing terrorist organization.'](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Pope+Francis+Celebrates+Christmas+Night+Mass+FENr3ekrDlgl.jpg)
Pope Francis akiongoza misa ya mkesha wa Krismasi katika kanisa la Mt. Peter ndani ya mji wa...
10 years ago
GPLMATUKIO YA BETHDEI YA MKE NA MTOTO WA MTITU
11 years ago
GPLMTITU ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFANYA YAKE