Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya
Jeshi la Polisi nchini limeonya wananchi kujiepusha na vitendo vyovyote vitakavyoathiri amani iliyopo wakati huu dunia ikielekea kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Polisi Yatahadharisha Wananchi Kuhusu Mkesha wa Mwaka Mpya
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAHADHARI KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA
Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika nyumba za ibada ama kusherekea katika maeneo mbalimbali ya starehe, ambapo uzoefu unaonyesha kuwa baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vinavyohatarisha usalama wa raia mali zao.
Jeshi la Polisi nchini, limejipanga vizuri katika mikoa yote kwa kushirikiana na vyombo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jWOnTjpjCGM/VoUNlgWRzGI/AAAAAAAIPkE/9lKof2DXna8/s72-c/Polis.png)
JESHI LA POLISI LAWATAHADHARISHA WANANCHI KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JESHI LA POLISI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jWOnTjpjCGM/VoUNlgWRzGI/AAAAAAAIPkE/9lKof2DXna8/s1600/Polis.png)
Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s72-c/image061%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI LIMEJIPANGA KIKAMILIFU KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s1600/image061%2B(1).jpg)
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...
9 years ago
MichuziMKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
10 years ago
Mwananchi24 Dec
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi yatoa tahadhari Sikukuu Pasaka
10 years ago
StarTV30 Dec
Dk. Bilal mgeni rasmi mkesha wa mwaka mpya.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Gharib Bilal anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Mkesha maalum wa mwaka mpya utakaofanyika Desemba 31 Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuliombea Taifa amani na utulivu kwa mwaka ujao wa 2015.
Mkesha huo ulioandaliwa na kamati maalum ya mikesha ya mwaka mpya tayari maandalizi yake yamekamilika ambapo pia utafanyika kwenye mikoa mingine 16 Nchini na wakuu wa mikoa hiyo watakuwa wageni...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/DSC_0527.jpg?width=640)
SKYLIGHT BAND YAPAGAWISHA MKESHA WA MWAKA MPYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N6QMQc0yfR4ohZZjvvBPH-5QRwbU0NgGIQuOxcDHVL5uEEh2LaxyPmHdPqJHkED4nGZ2QI8zBK3p2-vrSkIJmW5/suleimankova.jpg?width=550)
MARUFUKU KULIPUA FATAKI MKESHA WA MWAKA MPYA