Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yatoa tahadhari Sikukuu ya Krismasi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi yatoa tahadhari Sikukuu Pasaka

Jeshi la Polisi limewataka wananchi kuchukua tahadhari katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka ili kulinda maisha ya watu na mali zao dhidi ya wahalifu wanaotumia fursa hiyo kufanya vitendo viovu.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS LTD YATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA SIKUKUU YA KRISMASI

Ofisa Utawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea akimkabidhi fedha mlezi wa Al Madina, Kuruthumu Yusuf.
Dereva wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eladius Banzi akishusha sehemu ya misaada hiyo.…

 

9 years ago

StarTV

Upandishaji Nauli Kipindi Cha Sikukuu SUMATRA Mbeya yatoa tahadhari

Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu nchni SUMATRA Mkoa wa Mbeya imewatahadharisha wamiliki wa vyombo vya usafiri kutokupandisha nauli katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho mwa mwaka.

Afisa Mfawidhi wa SUMATRA mkoani Mbeya Denis Daudi amesema mamlaka hiyo haitasita kuwachukulia hatua watoa huduma wakiwemo wamiliki, wafanyakazi na wapiga debe wa vyombo vya usafiri watakaokiuka agizo hilo.

Akizungumza na Star tv, Denis amesema yamejengeka mazoeza ya kila...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yatoa tahadhari mkesha wa mwaka mpya

Jeshi la Polisi nchini limeonya wananchi kujiepusha na vitendo vyovyote vitakavyoathiri amani iliyopo wakati huu dunia ikielekea kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016.

 

11 years ago

Habarileo

JK atoa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa kilo za mchele 1,200, lita za mafuta 220 na mbuzi 25 kwa ajili ya zawadi ya Sikukuu ya Krismasi kwa makundi maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Afa maji Sikukuu ya Krismasi Tanga

Mkazi wa Pongwe jijini Tanga, Hamis Adam (17) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama katika Bahari ya Hindi wakati akiogelea na wenzake na mwili wake haujapatikana.

 

10 years ago

GPL

SIKUKUU YA KRISMASI ILIVYOSHEREHEKEWA JIJINI MWANZA

Moja ya kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji la mwanza ambao walisherehekea Sikukuu ya Krimasi  ilikuwa ni kupiga picha pamoja na samaki huyu. Mamia ya wakazi wa jiji la mwanza wakipiga picha za kumbukumbu maeneo ya Samaki raund about ya katikati ya jiji la Mwanza.…

 

10 years ago

Mwananchi

Sikukuu ya Krismasi inachosha, inafundisha au ni ratiba?

Desemba 25 kila mwaka, Wakristo ulimwenguni kote huwa na sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAWATAKIA WATANZANIA HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI

-Airtel yawatakia Watanzania heri ya sikukuu
-Yazidi kutanua kifua kwamba ni Baba lao
Kampuni ya mitandao ya simu za mkononi ya Airtel imewaasa Watanzania wote kote nchini kulinda amani na utulivu wa nchi katika kipindi hiki cha sikukuu ikiwa ni baada ya kuwatakia heri ya Christmas na mwaka mpya. Akizungumza kwenye ofisi za makao makuu ya Airtel, Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando alisema sikukuu za Christmas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani