Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK atoa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa kilo za mchele 1,200, lita za mafuta 220 na mbuzi 25 kwa ajili ya zawadi ya Sikukuu ya Krismasi kwa makundi maalumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.

 Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa watoto wanaoishi kwenye kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini Mkoani Dodoma.Meneja wa kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini kilichopo Dodoma  Padiri Vicent, kwa niaba ya watoto wa kituo hiko, akimshukuru Bi. ziada Nkinda kwa kukabidhi zawadi zilizotolewa na Mhe. Rais...

 

10 years ago

BBCSwahili

Suarez atoa zawadi ya krismasi

shambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez ametoa zawadi kwa watoto 500 na familia zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Afa maji Sikukuu ya Krismasi Tanga

Mkazi wa Pongwe jijini Tanga, Hamis Adam (17) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama katika Bahari ya Hindi wakati akiogelea na wenzake na mwili wake haujapatikana.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mwananchi

Sikukuu ya Krismasi inachosha, inafundisha au ni ratiba?

Desemba 25 kila mwaka, Wakristo ulimwenguni kote huwa na sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.

 

10 years ago

GPL

SIKUKUU YA KRISMASI ILIVYOSHEREHEKEWA JIJINI MWANZA

Moja ya kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji la mwanza ambao walisherehekea Sikukuu ya Krimasi  ilikuwa ni kupiga picha pamoja na samaki huyu. Mamia ya wakazi wa jiji la mwanza wakipiga picha za kumbukumbu maeneo ya Samaki raund about ya katikati ya jiji la Mwanza.…

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAWATAKIA WATANZANIA HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI

-Airtel yawatakia Watanzania heri ya sikukuu
-Yazidi kutanua kifua kwamba ni Baba lao
Kampuni ya mitandao ya simu za mkononi ya Airtel imewaasa Watanzania wote kote nchini kulinda amani na utulivu wa nchi katika kipindi hiki cha sikukuu ikiwa ni baada ya kuwatakia heri ya Christmas na mwaka mpya. Akizungumza kwenye ofisi za makao makuu ya Airtel, Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando alisema sikukuu za Christmas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani