Afa maji Sikukuu ya Krismasi Tanga
Mkazi wa Pongwe jijini Tanga, Hamis Adam (17) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama katika Bahari ya Hindi wakati akiogelea na wenzake na mwili wake haujapatikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Dec
JK atoa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa kilo za mchele 1,200, lita za mafuta 220 na mbuzi 25 kwa ajili ya zawadi ya Sikukuu ya Krismasi kwa makundi maalumu.
10 years ago
GPLSIKUKUU YA KRISMASI ILIVYOSHEREHEKEWA JIJINI MWANZA
Moja ya kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji la mwanza ambao walisherehekea Sikukuu ya Krimasi ilikuwa ni kupiga picha pamoja na samaki huyu. Mamia ya wakazi wa jiji la mwanza wakipiga picha za kumbukumbu maeneo ya Samaki raund about ya katikati ya jiji la Mwanza.…
10 years ago
Mwananchi24 Dec
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Sikukuu ya Krismasi inachosha, inafundisha au ni ratiba?
Desemba 25 kila mwaka, Wakristo ulimwenguni kote huwa na sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsnlzSDBdVUkh2hc3jZxuClenGpOC2kIqaTkr7GwmcV6AIWUKlDXEGLkGBA5vOrJgDaOhPrAqxFfW5vjGXig3Ki/XMASAIRTEL.png?width=650)
AIRTEL YAWATAKIA WATANZANIA HERI YA SIKUKUU YA KRISMASI
-Airtel yawatakia Watanzania heri ya sikukuu
-Yazidi kutanua kifua kwamba ni Baba lao
Kampuni ya mitandao ya simu za mkononi ya Airtel imewaasa Watanzania wote kote nchini kulinda amani na utulivu wa nchi katika kipindi hiki cha sikukuu ikiwa ni baada ya kuwatakia heri ya Christmas na mwaka mpya. Akizungumza kwenye ofisi za makao makuu ya Airtel, Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando alisema sikukuu za Christmas...
11 years ago
GPL11 years ago
GPL11 years ago
GPL26 Dec
JOH MAKINI NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI 2013
Mwana Hip Hop Joh Makini kutoka Kundi la Weusi akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakheem, jijini Dar es Salaam sikukuu ya Krismasi.
10 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS LTD YATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA SIKUKUU YA KRISMASI
Ofisa Utawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea akimkabidhi fedha mlezi wa Al Madina, Kuruthumu Yusuf.
Dereva wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eladius Banzi akishusha sehemu ya misaada hiyo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania