Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muswada wa Sheria ya Habari sasa April mwaka huu

6

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Saidi Mtanda akiwasilisha taarifa ya kamati.

Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma

SERIKALI inatarajia kuwasilisha Muswada wa Sheria ya Habari katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi April mwaka huu ili kujadiliwa na kupitishwa kuwa Sheria kamili.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Saidi Mtanda wakati akiwasilisha taarifa ya kazi za kamati yake kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.

Alisema muswada huo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nini kimejificha kuhusu Muswada wa Sheria ya Habari?

Tunawaunga mkono wabunge waliojitokeza kupinga kuwasilishwa kwa hati ya dharura muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa mwaka 2015.

 

5 years ago

Michuzi

MBIO ZA NGORONGORO MIN MARATHON KUFANYIKA APRIL 19 MWAKA HUU

Mratibu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon Meta Petro akiongea na vyombo vya habari leo jijini Arusha pembeni kulia ni kaimu Meneja wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Joyce Mgaya na kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya Mbio hizo Marcel Bituro picha na Ahmed Mahmoud wa Michuzi Tv Arusha.
Mazungumzo yakiendelea kuelezea msimu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon za mwaka huu April 19 wilayani Karatu picha na Ahmed Mahmoud Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Msimu wa mbio za Ngorongoro mwaka 2020...

 

5 years ago

Michuzi

KESI YA ANAETUHUMIWA KUMUUA MSAIDIZ WAKE WA KAZI ZA NDANI YAPIGWA KALENDA HADI APRIL 8, MWAKA HUU

Na Jusline Marco-Arusha

Kesi namba 5,ya mwaka 2020 ya mauaji inayomkabili Mkami Shirima mwenye umri wa miaka 30,kwa kumuua Salome Zakaria mwenye umri wa miaka 18 ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani mnamo Machi 6 mwaka huu imeahirishwa Hadi tarehe 8 April mwaka huu.

Kwa upande wake wakili wa serikali Penina Joakimu  amesema kuwa kutokana na upelelezi kutokamilika ameiomba mahakama kupangiwa siku  nyingine.

Akizungumza hakimu mkazi mfawizi wa mahakama ya wilaya Arumeru,Amalia Mushi alisema kesi ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MASOKO YA BIDHAA YA MWAKA 2015 (COMMODITY EXCHANGE ACT,2015)

Msomaji wa Maoni hayo Mhe. David Ernest Silinde (Mb) K.n.y Waziri Kivuli- Wizara ya Fedha 29.06.2015Kusoma maoni hayo BOFYA HAPA

 

10 years ago

BBCSwahili

Habari muhimu barani Afrika mwaka huu

Hizi ndizo habari muhimu zilizotokea barani Afrika,je unaweza kuzikumbuka vipi?Angalia kanda hii ya video kwa sekunde 60.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani