Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngorongoro half marathon set for April 19


Ngorongoro half marathon set for April 19
Daily News
THE 7th Ngorongoro Half-Marathon will be held in Karatu, Arusha Region, on April 19, this year and is expected to attract many entries. The annual event, which is organised jointly by Zara Charity and the Rift Valley Athletics Club, will start from the ...

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Ngorongoro half marathon


IPPmedia
Ngorongoro half marathon
IPPmedia
The seventh edition of the Ngorongoro half marathon was held over the weekend in Karatu and Alphonce Felix and one Jack line emerged winners. The event was organised by Rift Valley Athletic Club and a charity organisation based in Moshi. Besides the ...
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News

all 4

 

5 years ago

LetsRun.Com

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon  LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs  Daily NationView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

MBIO ZA NGORONGORO MIN MARATHON KUFANYIKA APRIL 19 MWAKA HUU

Mratibu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon Meta Petro akiongea na vyombo vya habari leo jijini Arusha pembeni kulia ni kaimu Meneja wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Joyce Mgaya na kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya Mbio hizo Marcel Bituro picha na Ahmed Mahmoud wa Michuzi Tv Arusha.
Mazungumzo yakiendelea kuelezea msimu wa Mbio za Ngorongoro min Marathon za mwaka huu April 19 wilayani Karatu picha na Ahmed Mahmoud Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Msimu wa mbio za Ngorongoro mwaka 2020...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon

WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

TIGO NGORONGORO MARATHON‏

Meneja Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha akizungumza na waandishi wa habari mapema leo wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni hiyo katika mbio za 'Tigo Ngorongoro Marathon' zitakazofanyika 19 Aprili 2014 wilayani Karatu, Ngorongoro - Arusha. Kushoto ni Mratibu wa mbio hizo, Datus Joseph, kutoka kampuni ya utalii ya Zara Tours. Mratibu wa Matukio, Datus Joseph, kutoka kampuni ya utalii ya Zara Tours… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi

1

Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.

2

Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...

 

5 years ago

Michuzi

MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi


Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza  mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathon sasa kufanyika Aprili 18

DSCF4379

Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani Arusha.

DSCF4389

Mkurugenzi wa Zara Tanzania Adventure na Zara Charity,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya mbio hizo ambazo zinadhaminiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity.

DSCF4406

Mratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Meta Peter akizungumzuia wanariadha wa Tanzania ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani