Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon
WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
LetsRun.Com21 Feb
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret
11 years ago
IPPmedia23 Apr
Ngorongoro half marathon
IPPmedia
IPPmedia
The seventh edition of the Ngorongoro half marathon was held over the weekend in Karatu and Alphonce Felix and one Jack line emerged winners. The event was organised by Rift Valley Athletic Club and a charity organisation based in Moshi. Besides the ...
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News
all 4
11 years ago
Daily News24 Jan
Ngorongoro half marathon set for April 19
Daily News
THE 7th Ngorongoro Half-Marathon will be held in Karatu, Arusha Region, on April 19, this year and is expected to attract many entries. The annual event, which is organised jointly by Zara Charity and the Rift Valley Athletics Club, will start from the ...
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi
Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.
Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...
9 years ago
Vijimambo20 Oct
MWIGULU NCHEMBA NI HALF-MAN HALF-MACHINE,AITEKA MBEYA KWA SIKU MOJA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/12112445_897370506983441_7310252686218800305_n.jpg?oh=5f239d5d560c28853c51713c0c7caf57&oe=56C27E99&__gda__=1455716509_ab88ba4afe4c79858620d75ba954c645)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11181869_897370866983405_4037886487948702760_n.jpg?oh=5a0854877dfbb73da8dd695bcdd3f293&oe=5684B42C)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/12107212_897370353650123_1382769193513656811_n.jpg?oh=c488609a26254dc6ab5bebbd4a2f98fe&oe=568CF889&__gda__=1456036949_842c01eb13ba15e9763ab84414e022f0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xlp1/v/t1.0-9/11008416_897370393650119_613845620529573651_n.jpg?oh=00dd4b30da257c39ed54893442698277&oe=56BFE14F)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s72-c/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi
![](https://1.bp.blogspot.com/-TwbZmfgbc80/XlvVL7av7FI/AAAAAAALgO4/jZdygkfFXmg2lxd3vQc_qJs80dAH1H4SACLcBGAsYHQ/s640/2dab86c8-950b-469d-88c7-d24ad93533b8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/781e28e9-dfd5-4861-9b40-14bb611c02f6.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Wanamuziki wa Hamandobe wajifua kwa Krismas Tanga
Wanamuziki wa bendi ya Hamadombe wakiwa katika mazoezi nyumbani kwa mkurugezi wao Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wasanii wa filamu wa kundi la Hamadombe ambao nao wanatarajia kutoa filamu kali ya ‘Nakufa kwa ajili yako’.
WANAMUZIKI wa bendi ya Hamadombe, jana wamenaswa jijini Dar es Salaam wakijifua kwa ajili ya shoo kabambe wanayotarajia kuifanya siku ya Krismasi katika ukumbi wa Rombo ulioko Handeni mkoani Tanga.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii mkurugenzi wa...