Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon

WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

LetsRun.Com

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon  LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs  Daily NationView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret

Wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret, nchini Kenya kwa michezo ya Afrika itakayofanyika nchini Congo Brazzaville,Septemba.

 

11 years ago

IPPmedia

Ngorongoro half marathon


IPPmedia
Ngorongoro half marathon
IPPmedia
The seventh edition of the Ngorongoro half marathon was held over the weekend in Karatu and Alphonce Felix and one Jack line emerged winners. The event was organised by Rift Valley Athletic Club and a charity organisation based in Moshi. Besides the ...
Kikwete 'stops' hotels in NgorongoroDaily News

all 4

 

11 years ago

Daily News

Ngorongoro half marathon set for April 19


Ngorongoro half marathon set for April 19
Daily News
THE 7th Ngorongoro Half-Marathon will be held in Karatu, Arusha Region, on April 19, this year and is expected to attract many entries. The annual event, which is organised jointly by Zara Charity and the Rift Valley Athletics Club, will start from the ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi

1

Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.

2

Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...

 

9 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA NI HALF-MAN HALF-MACHINE,AITEKA MBEYA KWA SIKU MOJA

Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mji wa Tunduma mapema asubuhi ya leo alipokwenda kuomba kura za Rais,Ubunge na Madiwani wa Chama cha Mapinduzi."Watanzania wenzangu mnaoishi hapa Tunduma,Hakuna chama cha siasa chenye thamani kuliko UHAI wa Mwanadamu,Nawaombeni sana muache tabia za kupigana na kuuana kwasababu ya vyama vya siasa.Nyie wananchi mnagombana kwa sababu ya siasa,Hivi ni lini mmeona sisi viongozi wa vyama vya siasa tunapigana??"Mwigulu NchembaWananchi wa Tunduma...

 

5 years ago

Michuzi

MD wa SBL ashiriki mbio za Kilomita 21 Kili Half Marathon 2020 mjini Moshi


Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bia ya Serengeti SBL, Mark Ocitti akikimbia na kufanikiwa kumaliza  mbio za kilomita 21 za Kilimanjaro Marathon 2020 mjini Moshi leo. Tukutane Chui finishing line.

 

9 years ago

Global Publishers

Wanamuziki wa Hamandobe wajifua kwa Krismas Tanga

1

4 5Wanamuziki wa bendi ya Hamadombe wakiwa katika mazoezi nyumbani kwa mkurugezi wao Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.

6 8 9 10 11 12 13 14Wasanii wa filamu wa kundi la Hamadombe ambao nao wanatarajia kutoa filamu kali ya ‘Nakufa kwa ajili yako’.

WANAMUZIKI wa bendi ya Hamadombe, jana wamenaswa jijini Dar es Salaam wakijifua kwa ajili ya shoo kabambe wanayotarajia kuifanya siku ya Krismasi katika ukumbi wa Rombo ulioko Handeni mkoani Tanga.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani