Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIGULU NCHEMBA NI HALF-MAN HALF-MACHINE,AITEKA MBEYA KWA SIKU MOJA

Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mji wa Tunduma mapema asubuhi ya leo alipokwenda kuomba kura za Rais,Ubunge na Madiwani wa Chama cha Mapinduzi."Watanzania wenzangu mnaoishi hapa Tunduma,Hakuna chama cha siasa chenye thamani kuliko UHAI wa Mwanadamu,Nawaombeni sana muache tabia za kupigana na kuuana kwasababu ya vyama vya siasa.Nyie wananchi mnagombana kwa sababu ya siasa,Hivi ni lini mmeona sisi viongozi wa vyama vya siasa tunapigana??"Mwigulu NchembaWananchi wa Tunduma...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATIKISA MKOA WA MOROGORO WOTE KWA SIKU MOJA

Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Gairo hii leo,Amesisitiza kuwatatulia swala la maji ambalo bajeti yake imeshaanza kufanyiwa kazi.Naibu katibu Mkuu akizungumza na wananchi wa Mvomero hii leo,Tatizo la Sukari ndio AGENDA kuu hapa Mvomero,Wananchi wanasumbuliwa na tatizo la soko la sukari na Migogoro ya Mashamba.Mwigulu Nchemba ameahidi kuchukua hatua kuhakikisha tatizo linapata dawa ya Kudumu.Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na Mbunge wa Kilosa MH:MKulo hii leo mara baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA AZUNGUKA WILAYA ZOTE ZA TANGA KWA SIKU MOJA,WANANCHI WAFURIKA MIKUTANONI

Hisia za Wananchi wa Korogwe zikiwa zimeandikwa kwenye Bango hili kama linavyosomeka,Hii imetokea Korogwe Mjini wakati Naibu katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba alipofanya ziara ya kutembelea wilaya zote za Mkoa wa Tanga hii leo.Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na wananchi wa wilaya ya Pangani wakati wa ziara yake aliyoifanya kwa siku moja(17.01.2014) kwa wilaya zote za Mkoa wa Tanga.Naibu katibu Mkuu akiwasili Viwanja vya Tangamano-Tanga...

 

5 years ago

LetsRun.Com

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon

Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon  LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs  Daily NationView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

HALF TIME: MAN UTD 2 - 0 LIVERPOOL

Wayne Rooney akiifungia Manchester United bao la kwanza. Kwa sasa mpira ni mapumziko Manchester United wakiwa vifua mbele kwa mabao 2-0. Wafungaji Wayne Rooney na Juan Mata. Vikosi:  Man U: De Gea, Valencia, Jones, Evans, Young, Carrick, Fellaini, Mata, Rooney, Van Persie, Wilson. Liverpool: Jones, Skrtel, Lovren, Johnson, Moreno, Henderson, Allen, Gerrard, Coutinho, Lallana, Sterling. ...

 

11 years ago

IPPmedia

Man denies Tanzanian citizenship after half a century in the country


IPPmedia
Man denies Tanzanian citizenship after half a century in the country
IPPmedia
More than half a century under his belt, Ibrahimu Ally (75) admits that he is a citizen of Sierra Leone and not a Tanzanian as he has purported to authorities all these years. Ally has lived in Tanzania for 51 years having entered the country just after ...

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MKOA WA MARA,APIGA MAJIMBO 5 KWA SIKU.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza akimnadi Mgombea wa Jimbo la Bunda Vijini.Mwigulu akizungumza na wanaserengeti amewaomba"Naomba mmchague Magufuli kwasababu tunazo sababu nyingi za kuhakikisha anakuwa Rais wa Tanzania,Magufuli yeye rafiki yake ni Kazi tu,Hivyo wananchi wamchague Mgombea Urais mwenye kusimamia kazi na shughuli za Maendeleo.Wanaserengeti wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Chama cha Mapinduzi-Serengeti.
Hisia za Maandishi kwa Magufuli.Mwigulu Nchemba akisalimiana na
Wananchi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon

WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya...

 

11 years ago

Michuzi

MWIGULU NCHEMBA AHUTUBIA BUNGE LA ACP NA EU,APINGA NDOA YA JINSIA MOJA,AZUNGUMZIA UCHUMI BARANI AFRIKA

Naibu Waziri wa Fedha  mhe Mwigulu Nchemba amehutubia kikao cha pamoja cha bunge la ACP na EU katika mji wa Strasbourg nchini Ufaransa.
Katika hotuba yake, mhe Mwigulu alianza kwa kukishukuru chombo hicho kwa ajili ya msimamo wake usioyumba kwenye maswala ya amani akitolea mfano wa kazi nzuri waliofanya kwenye swala la Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudani  Kusini. Mhe Mwigulu aliitaka Jumuiya ya Kimataifa imsaidie Rais wa muda Mama Carthrine Samba Panza ili kuwezesha kipindi cha mpito...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA,KATAVI,RUKWA NA MBEYA,SAFARI YAKE BADO INAENDELEA


Ndugu Mwigulu Nchemba akipokea Orodha ya Wazamini MKoa wa Katavi kutoka kwa Katibu Wilaya wa CCM(Mpanda Mjini.)Mwigulu Nchemba akitoa neon la Shukrani kwa WanaCCM waliomdhamini Mkoa wa Katavi.Mwigulu Nchemba akipokea Orodha ya WanaCCM walioamua kumdhamini kwenye Kufanikisha adhima yake ya Kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hapa ni Sumbawanga Mjini kwa Mkoa wa Rukwa.Mwigulu Nchemba akishuhudia Mmoja ya Wanaccm waliomdhamini kwa Mkoa wa Rukwa.Mwigulu Nchemba akiagana na Wadhamini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani