Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret

Wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret, nchini Kenya kwa michezo ya Afrika itakayofanyika nchini Congo Brazzaville,Septemba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon

WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Warembo Miss Tanzania wajifua Gym kuiweka miili yao imara

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi ‘Gym’, ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao. 8

 

10 years ago

Michuzi

WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao. PICHA ZAIDI INGIA HAPA

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya awafunda wanariadha wa Tanzania

Bingwa mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Kipchoge Keino amewaambia wanariadha wawili wa Tanzania waliokokambini Kenya kuwa nguzo kuu ya kufanikiwa ni kuzingatia nidhamu, kujituma na kujiamini.

 

9 years ago

Michuzi

WANARIADHA WANNE TANZANIA KUWANIA MEDALI LEO CHINA

 Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akimpongeza rais mpya wa Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF), Lord Sebastain Coe mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu nchini China. Mtaka yupo nchini China akiwakisha RT katika mkutano mkuu wa IAAF na kupiga kura kumchagua kiongozi mpya.Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akipokea msaada wa wa vifaa vya michezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Nike, Rebet Jones mjini Beijing China. Mtaka yupo nchini...

 

11 years ago

GPL

MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA

Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo. Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. TEDROS ADHENOM, WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ETHIOPIA ATEMBELEA KAMBI YA WANARIADHA WA TANZANIA ADDIS ABABA

Mhe. Dr. Tedros Adhenom, wa tatu kutoka kulia akiwa na wanaridha wa Watanzania wa mbio ndefu waliotia kambi mjini Addis Ababa. Wa pili kulia ni Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, wa Kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia, Mhe. Balozi Solomon. Na wengine wailiokaa ni Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Michezo ya Ethiopia. Mhe. Dr. Tedros aliwaasa wanariadha hao na kuwataka wafanye vizuri katika mashindano ya Madola yatakayofanyika...

 

10 years ago

BBC

Kenya ICC witness killing haunts Eldoret family

Was Kenyan killed over ICC testimony?

 

10 years ago

Bongo5

Msanii wa Kenya atumia tshs milioni 12 kukodi helikopta kuhudhuria hafla za mwanae na mdogo wake, Nairobi na Eldoret kwa siku 1

Muimbaji wa Kenya, Esther Akoth maarufu kama Akothee ambaye hivi karibuni alikuwa nchini Tanzania, ametumia shilingi 700,000 za Kenya ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 12 za Tanzania kuhudhuria hafla mbili ikiwemo ya mwanae wa kike zilizofanyika siku moja. Esther Akoth aka Akothee akiwa kwenye helikopta aliyokodi Akothee ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Akothee […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani